• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Vipeperushi
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Ukaguzi wa Leseni na tozo mbalimbali

Posted on: September 14th, 2018

*ZIARA YA KAMATI YA UONGOZI NA FEDHA MANISPAA YA UBUNGO  YAWAPA KIBARUA KIZITO WAFANYABIASHARA NA MAKAMPUNI YASIYOLIPA KODI.*


Jana uAlhamisi, Manispaa ya Ubungo iliendelea na ziara yake iliyoanza jana ya kukagua na kukusanya mapato, katika ziara hiyo ikiongozwa na Mstahiki Meya-UBUNGO, Mhe. Boniface Jacob, iliendelea na ukaguzi kwa Makampuni mbalimbali yaliyomo katika *Jengo la Ubungo Business Park,* lililopo Ubungo, jijini Dar es salaam.

Katika ziara hiyo, Manispaa ya Ubungo imebaini kuwa kuna baadhi ya Makampuni yasiyolipa kodi na yapo Makampuni yanayolipa kodi ndogo tofauti na shughuli wanazoziendesha na kukosa baadhi ya leseni za kuendeshea biashara, leseni za maghala (Godowns) na leseni za ushuru wa huduma yaani Service Levy.

Aidha, kwa wamiliki wa makampuni ambayo yalishindwa kutoa ushirikiano kwa Manispaa na kujificha, Mstahiki Meya amewatahadharisha kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa kwa wale wanaokwepa kodi hivyo kujificha sio dawa kwani suala la ukaguzi wa leseni na shuru mbalimbali na ukusanyaji wa mapato kwa Manispaa ya Ubungo ni endelevu hivyo ni wajibu kulipa kodi na wafuate sheria.

Wakati huo huo, Mkurugenzi wa Manispaa ya UBUNGO, Ndg. Beatrice Rest Dominic alitilia mkazo suala la kuhakikisha wafanyabiashara kuwa  na leseni zote muhimu kwa shughuli wanazozifanya mfano  leseni za biashara, leseni za maghala, leseni za ushuru wa huduma.

 Aidha, Mkurugenzi wa Manispaa  aliwataka ambao wamebainika kuwa hawajalipia leseni zao kulipa mara moja kabla hawajachukuliwa hatua za kisheria kwani kwa kutokulipa kodi ni sawa na  kudhulumu pato la Taifa.

Ziara hii *itaendelea* tena siku ya kesho Ijumaa katika sehemu tofauti tofauti ili kuzidi kukusanya mapato ambayo ni muhimu kwa shughuli za maendeleo ya wana ubungo na nchi nzima kwa ujumla.

*Imetolewa na Kitengo cha Habari na Uhusiano, Halmashauri ya Manispaa ya UBUNGO.*

Taarifa

  • Tangazo la Uzinduzi wa Mikopo ya Wanawake na Vijana April 27, 2018
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili wa Marudio nafasi ya kazi za muda kwa vibarua wakusanya ushuru katika masoko ya Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo November 18, 2018
  • Tangazo la kuitwa kwenye usahili wa Mahojiano. December 06, 2018
  • Tangazo la ukataji au kuhuisha leseni na Tozo mbalimbali. December 08, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ziara ya kamati ya siasa Wilaya ya Ubungo

    February 14, 2019
  • Ziara ya kamati ya mipango miji Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

    February 06, 2019
  • Miaka mitatu ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano Dkt John Pombe Magufuli

    January 02, 2019
  • Uzinduzi wa barabara njia nane (8)Stopover Kimara

    December 19, 2018
  • Tazama zote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kibamba Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa