• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Leseni za Biashara

UTARATIBU WA KUPATA LESENI ZA BIASHARA:

Leseni zote za Biashara hutolewa chini ya sheria ya Biashara Na. 25 ya mwaka 1972 na marekebisho yake yaliyofanyika Juni 2004. Mwombaji wa leseni ya biashara anapaswa ajaze fomu ya maombi ya leseni TFN 211 (Business licence application form).

Leseni za Biashara zimegawanyika katika makundi mawili:-

KUNDI A: Leseni hizi hutolewa na Wizara ya Viwanda na Biashara.

Mfano:

· Uagizaji bidhaa toka nje (import licence).

· Kusafirisha bidhaa nje (Export licence).

· Wakala wa Mali (Estate Agent).

· Hotel za Kitalii (Tourist Hotel & Lodging).

· Wakala wa kupokea na Usafirishaji mizigo. (Clearing and Forwarding/Freight Forwarders) n.k.

KUNDI B: Hizi hutolewa na Halmashauri za Manispaa husika.

Mfano:

· Wakala wa Bima (Insurance Agent).

· Vipuri (Spare Parts, Machine tools).

· Maduka ya dawa za Binadamu/Mifugo

· Viwanda vidogo (Small Scale Manufacturely and selling).

· Uuzaji Bidhaa Jumla na Rejareja (Wholesale and Retail trade) n.k.

MASHARTI YA KUOMBA NA KUPEWA LESENI ZA BIASHARA:

  • Mfanyabiashara anapaswa awe na hati ya usajili iwapo anatumia jina la biashara (Certificate of Registration or Incorporation).
  • Kama ni Kampuni mwombaji awe na memorandum and: Articles of Association” ambazo zinaonyesha kuwa kampuni imeruhusiwa kufanya biashara anayoiomba.

Mwombaji awe na umri wa miaka 18 au zaidi.

  • Awe na mahali/Eneo linalokubalika kwa aina ya biashara anayoiomba na isiwe vibanda vilivyopo kando kando ya barabara.
  • Awe na TIN Certificate.
  • Awe na Tax clearance kutoka TRA
  • Awe na hati ya kuthibtisha uraia wake e.g. photo copy ya passport ya Tanzania, cheti cha kuzaliwa au Hati ya kiapo (Affidavit). Kama ni mgeni awe na hati ya kuishi nchini daraja la “A” (Resident Permit Class “A”.
  • Masharti mengine ya kupata leseni hutegemea aina ya biashara mtu anayetaka kuanzisha, eg. Mgahawa inabidi afuate taratibu zote za afya na kupima wafanyakazi wake.
  • Hati ya utaalam (Professional Certificates) kwa biashara zote za kitaalam.
  • Maombi mapya yatapitia ngazi za Mipango Miji, Biashara, Afya na kisha kikao cha Kamati ndogo ya leseni.

Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA April 26, 2021
  • TANGAZO KWA WAMACHINGA WOTE November 20, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • YUSUPH YENGA, NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA UBUNGO

    August 15, 2022
  • KIKAO KAZI, KAMPENI YA USAFI ITEKELEZWE IPASAVYO

    August 15, 2022
  • MADIWANI WASISITIZA UKAMILISHWAJI WA MIRADI KWA WAKATI

    August 12, 2022
  • RC MAKALLA NDANI YA STENDI YA MABASI MAGUFULI- CHANGAMOTO 5( TANO) ZA TATULIWA

    August 11, 2022
  • Tazama zote

Video

HAKUNA MGOMO WA MABASI MAGUFULI
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa