• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

BARAZA LA MADIWANI LA ROBO YA KWANZA KWA MWAKA 2019 -2020

Posted on: November 15th, 2019

Baraza hilo limefanyika tarehe 15/11 katika Ukumbi uliopo katika ofisi za Mkuu wa Wilaya likiendeshwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo  Mhe. Boniface Jacob  ambaye pia ni Diwani wa kata ya Ubungo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo *Bi.Beatrice Dominic*, Madiwani kutoka kata zote, wakuu wa Idara na waalikwa kutoka sehemu tofauti tofauti.
Wakati akifungua baraza hilo Mstahiki Meya alisisitiza kuzingatia kwa umakini uendeshaji wa kufata maadili katika kazi na kuzingatia misingi sahihi katika kazi na  kuzungumzia changamoto chache ambazo zinaonekana zihakikishwe zinazingatiwa ipasavyo na kufanyiwa ufumbuzi.
Vilevile Mhe.Boniface aliutaka uongozi wa Manispaa kushilikiana na Madiwani katika miradi ya maendeleo hususani katika ujenzi wa hospitali ya Wilaya.
Nae Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Bi. Beatrice Dominic aliahidi kuhakikisha anaongeza mapato ya Halmashauri kwa kushirikiana na watendaji wake.
Nishukuru kwa Mhe. Rais kutoa fedha ambazo zitatumika kujenga hospitali ya Wilaya  ya Ubungo na haya yote yanafanywa na rais wetu wa awamu ya tano, fedha zilizotolewa ni kwa ajili ya hospitali ya Wilaya naomba kusisitiza, aliongeza Mkurugenzi
Aidha alitolea ufafanuzi wa maswali yaliyotakiwa yapatiwe ufumbuzi kutoka kwa wajumbe na kutolea majibu kwa maswali yote yaliyokua yanahitaji kutolewa  majibu yake ya papo kwa papo .
Pia baadhi ya madiwani walitoa pongezi kwa maendeleo mbayo Manispaa inayafanya na kuongelea changamoto ambazo pia zinatokea na kuomba zipatiwe ufumbuzi na Mkurugenzi na baadhi ya wataalam kuhakikisha wanasimamia ipasavyo kazi zao.   Baraza hilo limefanyika leo katika Ukumbi uliopo katika ofisi za Mkuu wa Wilaya likiendeshwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe. Boniface Jacob ambaye pia ni Diwani wa kata ya Ubungo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo  Bi.Beatrice Dominic , Madiwani kutoka kata zote, wakuu wa Idara na waalikwa kutoka sehemu tofauti tofauti.

Wakati akifungua baraza hilo Mstahiki Meya alisisitiza kuzingatia kwa umakini uendeshaji wa kufata maadili katika kazi na kuzingatia misingi sahihi katika kazi na  kuzungumzia changamoto chache ambazo zinaonekana zihakikishwe zinazingatiwa ipasavyo na kufanyiwa ufumbuzi. Vilevile Mhe.Boniface aliutaka uongozi wa Manispaa kushilikiana na Madiwani katika miradi ya maendeleo hususani katika ujenzi wa hospitali ya Wilaya.

Nae Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Bi. Beatrice Dominic aliahidi kuhakikisha anaongeza mapato ya Halmashauri kwa kushirikiana na watendaji wake.   Nishukuru kwa Mhe. Rais kutoa fedha ambazo zitatumika kujenga hospitali ya Wilaya  ya Ubungo na haya yote yanafanywa na rais wetu wa awamu ya tano, fedha zilizotolewa ni kwa ajili ya hospitali ya Wilaya naomba kusisitiza,"* aliongeza Mkurugenzi.   Aidha alitolea ufafanuzi wa maswali yaliyotakiwa yapatiwe ufumbuzi kutoka kwa wajumbe na kutolea majibu kwa maswali yote yaliyokua yanahitaji kutolewa  majibu yake ya papo kwa papo .  Pia baadhi ya madiwani walitoa pongezi kwa maendeleo mbayo Manispaa inayafanya na kuongelea changamoto ambazo pia zinatokea na kuomba zipatiwe ufumbuzi na Mkurugenzi na baadhi ya wataalam kuhakikisha wanasimamia ipasavyo kazi zao.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa