• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

BODI NA KAMATI ZA VITUO VYA AFYA UBUNGO ZAPEWA MAFUNZO ELEKEZI

Posted on: March 30th, 2022


Kufuatia uundaji wa Bodi na  Kamati  mpya za ushauri  kwenye vituo vya kutolea huduma za afya,  Manispaa ya Ubungo imewapa semina elekezi  wajumbe wa Bodi na Kamati hizo lengo ikiwa ni kuwajengea uelewa wa wajibu na majukumu yao kama chombo kinachounganisha jamii na Serikali katika uboreshaji wa utoaji wa huduma za afya kwa Wananchi.


Akiongea wakati wa kufungua semina hiyo, Mganga Mkuu wa Manispaa  Dkt Peter Nsanya ameeleza kuwa baada ya kuundwa kwa bodi na kamati mpya Manispaa imeona itoe semina elekezi kwa wajumbe juu ya wajibu na majukumu yao ikiwemo kusimamia utoaji wa huduma bora za afya kwenye vituo wanavyoviwakilisha.


"Kama kuna malalamiko kwa wananchi juu ya utoaji wa huduma ni wajibu wenu kuyachukua na kuwasilisha kwenye vituo na baada ya kufanyiwa kazi rudisheni mrejesho kwa wananchi ili waone kero zao zinatatuliwa" alieleza Nsanya.


Aidha, wajumbe wamekumbushwa kuwa  ili wawe wajumbe hai kwenye kamati zao ni lazima wawe wamejiunga na moja ya bima za afya ikiwemo iCHF ili waweze kuhamasisha jamii  kujiunga na bima kwa vitendo.


“Kwa wale wasio na bima wajiunge haraka" alisisitiza Nsanya


Aidha wajumbe wamesisitizwa pia kuhakikisha wanajua mipango ya utekelezaji wa kwenye vituo vyao ikiwemo ukusanyaji wa mapato, kusimamia matumizi sahihi ya fedha za Umma, usimamizi wa miradi ya maendeleo pamoja na kutumia vizuri taarifa za wakaguzi kwa kufuata ushauri wao kama njia ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.


Kwa upande wake Katibu wa afya wa Manispaa hiyo, ameeleza kuwa Kamati zote za vituo zinawajibika kwa Bodi ya afya ya Halmashauri kwa kutoa taarifa za utekelezaji wa shughuli zao kwani ndio msimamizi Mkuu wa masuala ya afya kwa ngazi ya Manispaa


Manispaa ya Ubungo ina Jumla ya vituo vya kutolea huduma za afya 22 vya Serikali.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa