• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

CHANGIA ADA YA TAKA KUIMARISHA USAFI WA MTAA WAKO

Posted on: May 28th, 2022

Katika kuendeleza kampeni ya Safisha, Pendezesha Dar Es Salaam Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Bi. Beatrice Dominic amewataka wananchi kuendelea kulipa ada za taka kulingana na taratibu zilizowekwa kwenye mitaa yao kama ambavyo sheria inawataka ili kuwezesha taka kuzolewa kwenye maeneo yao.

Hayo ameyasema leo tarehe 28/05/2022 wakati wa usafi wa mwisho wa mwezi uliofanyika kata ya Mabibo barabara ya NIT ulioenda sambamba na upandaji wa miti. Viongozi mbalimbali wa chama, viongozi wa chuo cha NIT, kikundi cha scout, Miss Utalii Dar es Salaam Angela Geradi Steven, pamoja na wananchi.

Mstahiki Meya wa Manspaa ya Ubungo Mhe. Jaffary Juma  Nyaigesha akipanda mti kwenye zoezi la usafi wa mwisho wa mwezi uliofanyika Mtaa wa Mabibo leo mei 28,2022

Aidha, Beatrice amewapongeza wananchi kwa kushiriki kikamirifu kufanya usafi, na amewaomba kuwa na utamaduni wa kufanya usafi kwenye maeneo ya biashara na majumbani na kuendelea kulipa ada za usafi na kuacha kuwapa wenye matoroli kwani hawatupi dampo na wanaendelea kuchafua mazingira yetu.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Jaffary Nyaigesha amewapongeza wananchi kwa kujitokeza kushiriki usafi huo na amewataka kuendeleza utamaduni huo kila siku majumbani mwao na kuacha tabia yakuweka uchafu kwenye mitaro ya maji machafu ili kuendelea kutunza miundombinu hiyo na kufanya mazingira kuwa safi.

Nae Mhe. Joseph Thomas Kleruu Diwani kata ya Mabibo amewasisitiza wananchi kuendelea kusafisha maeneo kila siku na sio kusubiri usafi wa jumamosi na matarajio yake ni kuona kata yake inapata nishani ya usafi.

Wananchi  wa kata ya mabibo manispaa ya ubungo wakishiriki zoezi la usafi linafanyika kila jumamosi ya mwisho wa mwezi Mei, 2022

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa