• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC KHERI AKABIDHIWA OFISI RASMI

Posted on: June 28th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kheri James amekabidhiwa ofisi  rasmi na aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Ubungo  Kisare Makori leo tarehe 28 juni, 2021 katika ukumbi wa mikutano uliopo katika  ofisi ya Mkuu wa Wilaya Luguruni

Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Dc Kheri aliahidi   kutekeleza  yale uliyoaachwa na kuhakikisha mahusiano mazuri Kati ya chama na Serikali na pia ulinzi na usalama wa Wilaya yetu ya Ubungo unaendelea kuimarika

"Nikupongeze nimekuta wilaya iko shwali pia  mahusiano mazuri na wadau mbalimbali yako safi na niahidi ntaendeleza Yale yote ambayo ulikuwa umeyafanya kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama, Mkurugenzi ,wakuu wa idara na watalaam" Aliongeza Kheri

Akizungumza baada ya kukabidhiwa ofisi hiyo Kheri amesema kuwa  anamshukuru rais  wa jamuhuli ya muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan kwa kututeuwa na nikutakie kazi njema unapokuwa Tabora ( Uyui)

Aidha Kisare alimkabidhi Kheri  kitabu cha taarifa na kumshukuru rais wa jamuhuli ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa uteuzi na kuahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Dc Ubungo

Nae Beatrice Dominic Mkurugenzi Manispaa ya Ubungo amemshukuru Kisare kwa miongozo na malezi bora alipo kuwa Ubungo na kumtakia utekelezaji mwema anapokwenda Tabora(Uyui)

Alikadhalika, Mstahiki Meya Manispaa ya Ubungo Jaffari  Nyaigesha amemshukuru DC Uyui kwa ushirikiano mzuri alipokuwa Ubungo na kwa utekelezaji mzuri wa maendeleo ya Wilaya ya Ubungo

Naomba nikukaribishe sana Dc Kheri tuna ahidi kuonyesha ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yako

Ikumbukwe kuwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mkoa wa Tabora

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa