• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC KHERI ATOA MAELEKEZO KWA MAKAMPUNI YA URASIMISHAJI

Posted on: September 10th, 2021

Yatakiwa kukamilisha kazi hiyo mapema

Wananchi wamechangia Jumla ya shilingi  bilioni 9.4 kwa ajili ya upimaji

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mheshimiwa Kheri James amekutana na Makampuni ya Upangaji na Upimaji ardhi katika Wilaya hiyo ili kujadili changamoto zinazoyakabili makampuni hayo na kutoa maelekezo ya   kukamilisha zoezi hilo kwa wakati ili wananchi waweze kumilikishwa maeneo yao.

Mkuu wa Wilaya ameamua kufanya kikao hicho kutokana na wananchi wengi wa Wilaya hiyo  kutoridhishwa na mwenendo wa utendaji kazi wa makampuni hayo licha ya kuchukua *fedha kwa  wananchi shilingi bilioni 9.4 kwa ajili ya  kugharamia upimaji

Kutokana na hali hiyo, Mhe.Kheri ameyasisitiza makampuni hayo kufanya kazi  kwa haraka na  weledi  huku wakizingatia mikataba ya kazi yao ili mchakato wa utoaji hati ufanyike na wananchi wamilikishwe maeneo yao kwa mujibu wa sheria

"Kama Serikali ilivyowaamini na kuwapa kazi basi tunzeni hedhima hiyo Kwa kuhakikisha mnakamilisha mchakato wa urasimishaji ili Wananchi wapate hati miliki za maeneo yao" Mhe. Kheri

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi  ya urasimishaji  katika  Wilaya, Afisa Ardhi wa Manispaa ya Ubungo Fadhili Hussein ameeleza kuwa wilaya *ina Jumla ya makampuni 19 ya upangaji na 18 ya upimaji yanayotekeleza kazi za urasimishaji katika Mitaa 60 ndani ya kata 11

Aidha, ameendelea kueleza kuwa Jumla ya viwanja *176,350* vilianishwa huku viwanja  vilivyopimwa na kuidhinishwa  ni  17,776

 Sawa na  asilimia 10  tu ambapo wananchi wamechangia shilingi mbilioni 9.4 Kwa ajili ya zoezi hilo.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa