• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC KOMBA AKUTANA NA WATENDAJI KATA UBUNGO, ATOA MAELEKEZO

Posted on: February 7th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba amewataka watumishi wa Wilaya hiyo kusimamia ukusanyaji wa mapato, utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na kutatua kero za wananchi.

Matakwa hayo ameyasema katika kikao kazi kilichofanyika leo tarehe 07/02/2023 kilichojumuisha wakuu wa idara na vitengo, Watendaji wa Kata na Mitaa kwa lengo la kujadili utendaji kazi na kuweka mikakati ya pamoja juu ya kuwatumikia wananchi ipaswavyo.

Mhe. Komba ameendelea kusema kuwa ataendelea kuwatumikia wananchi kwa kuhakikisha wanapata huduma bora kama ambavyo alivyoaminiwa na Rais wa awamu ya sita kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu huku akisimamia kauli ya neno MKUU

Lenye maana ya;
M- Mapato
K- Kusikiliza kero za wananchi
U- Usimamiaji wa miradi ya maendeleo
U- Ulinzi na usalama na
U- Usafi wa mazingira
Na alisisitiza kuwa MKUU ndio vipaumbele vyake.

“Kila Mtendaji wa Kata anajukumu la kukusanya mapato sambamba na kuvielewa na kuvisimamia vyanzo vyote vinavyopatikana kwenye maeneo yenu” Alisisitiza Komba.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg. Beatrice Dominic ameendelea kusisitiza watendaji hao kuendelea kuwa wazalendo katika usimamizi na ukusanyaji wa mapato na kuwataka kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria kanuni na taratibu na kuacha kufanya kazi kwa mazoea.

Akiongea Ndg. Iddi Mnyeke kwa niaba ya watendaji wote ameahidi kwenda kuyafanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa ikiwa ni pamoja na kusimamia ukusanyaji wa mapato, kusikiliza na kutatua kero za wananchi, kusimamia miradi mbalimbali ya maendeleo na kuendelea kuwajibika kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa