• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC KOMBA ARIPOTI UBUNGO, AWEKA WAZI VIPAUMBELE VYAKE. DC KHERI AWAAGA WANA UBUNGO

Posted on: January 31st, 2023

Kufuatia mabadiliko ya wakuu wa Wilaya ambao yalifanywa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Januari 25, 2023, leo Januari 31, 2023 Mkuu mpya wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba amefika katika ofisi ya Wilaya ya Ubungo kwaajili ya makabidhiano ya ofisi na mkuu wa Wilaya aliyepita Mhe. Kheri James ambaye kwa sasa amehamishiwa wilaya ya Mbulu mkoani Manyara 

Hafla hiyo ya Makabidhiano imefanyika katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa Wilaya ya Ubungo ambapo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Wilaya na Manispaa ya Ubungo, viongozi wa chama cha Mapinduzi CCM pamoja na wadau wa maendeleo benki ya NMB 

Wakati anaongea mkuu wa wilaya ya Mbulu Mhe. Kheri James amechukua fursa hiyo kuwashukuru watumishi wa wilaya na manispaa ya Ubungo, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi, Watumishi wa Umma pamoja na wananchi wote wa wilaya ya Ubungo kwa ushirikiano mkubwa ambao walimpatia kipindi cha utumishi wake katika Wilaya ya Ubungo.

Aidha Mhe. James amewaomba watumishi na wananchi wa Ubungo kuendelea kumpa ushirikiano mkubwa Mhe. Hashim Komba ili kumpa nguvu zaidi katika utumishi wake wa kuwatumikia wananchi

m

Makabidhiano ya ofisi kati ya aliyekuwa DC ubungo Mhe.kheri james na Mkuu wa wilaya mpya wa ubungo Mhe.Hashim Komba


Nae Mkuu mpya wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba pamoja na kuwashukuru watumishi kwa mapokezi mazuri lakini pia ameainisha vipaumbele vyake katika uongozi wake ikiwa ni pamoja na kuendeleza mazuri yote yaliyofanywa na mtangulizi wake Mhe. Kheri James, kuhakikisha Ubungo inakuwa kinara kwenye kila jambo linalohusu maendeleo, kushughulikia kero za watumishi wa umma pamoja na wananchi wa Wilaya ya Ubungo

Mhe. Komba amesema "Wilaya ya Ubungo ni wilaya changa lakini yenye kasi kubwa ya maendeleo. Mimi kama mkuu wenu mpya wa Wilaya ninaahidi kutoa ushirikiano wangu mkubwa ili kuhakikisha Ubungo inakua ya kwanza kwenye shughuli mbalimbali za Maendeleo" Alisema 


Vile vile Mhe. Hashim Komba amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kumuamini kwenye kumsaidia majukumu ya kuiongoza Wilaya ya Ubungo. 


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KIWILAYA

    March 08, 2023
  • ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YAFANYIKA , DC KOMBA ATOA MAELEKEZO

    March 01, 2023
  • UBUNGO YATIA FORA KAMPENI YA SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM, RC MAKALLA AIPONGEZA

    February 25, 2023
  • BODI YA AFYA YAPITIA TAARIFA YA UTENDAJI ROBO YA PILI

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

FAHAMU ALICHOKISEMA DC KOMBA KWENYE ZIARA LEO | AIAGIZA TAKUKURU KUFANYA UCHUNGUZI
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa