• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC UBUNGO AHIMIZA USHIRIKIANO

Posted on: June 22nd, 2021

Mkuu wa wilaya ya ubungo Mhe. Kheri Denice James amewataka watumishi wa Manispaa ya Ubungo kufanya kazi kwa ushirikiano, ueledi na ubunifu mkubwa katika kutekeleza majukumu yao ili kuongeza ufanisi wa kazi na ubora wa utoaji wa huduma kwa wananchi wa manispaa hiyo.

Hayo ameyazungumza leo juni 22, 2021 wakati alipotembelea ofisi za manispaa hiyo kwa lengo la kuongea na wakuu wa idara na vitengo ikiwa ni hatua ya kujitambulisha na kutoa muelekeo wa namna ya kufanya kazi kwa ushirikiano pamoja na kuzingatia kanuni, sheria, taratibu, miongozo na maelekezo ya viongozi yasiyo kinyume cha sheria.

Katika kikao hicho, mhe. Mkuu wa Wilaya amewapongeza watumishi wa manispaa hiyo kwa utekelezaji mzuri wa shughuli za maendeleo katika sekta mbalimbali ikiwemo usafi, elimu, afya pamoja na uwezeshaji wananchi kiuchumi kupitia 10% ya fedha za mapato ya ndani.

“Niko kwenye Halmashauri inayofanya vizuri kwenye sekta mbalimbali ikiwemo usafi, barabara zetu ni safi nawapongeza sana; nimekuja kuungana nanyi tushirikiane” ameeleza James.

Aidha, James amewasisitiza watendaji wa manispaa hiyo kuwa wabunifu katika kutekeleza shughuli zao ikiwemo namna bora ya utoaji wa mikopo isiyo na riba kwa vikundi vya wananwake, vijana na watu wenye ulemavu ili kuzalisha ajira nyingi kwa vijana pamoja na kukuza uchumi wa wananchi.

“Ninapenda tufanye kazi kama timu na iwe timu yenye matokea sio maneno, nawaahidi ushirikiano wakati wote, tuchape kazi”

Akiongea kwa niaba ya Wakuu wa Idara na Vitengo, Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Beatrice Dominic amemshukuru mheshimiwa Mkuu wa Wilaya kwa kuwatembelea na kuongea nao na ameahidi kutoa ushirikiano pamoja na kutekeleza maelekezo yote aliyosema.

Mhe. Mkuu wa wilaya Kheri Device James aliapishwa jana tarehe 21 june, 2021 katika halfa ya kuapisha Wakuu wa Wilaya wapya wa Mkoa wa Dar Es Salaam iliyofanyika katika ukumbi wa anatoglo uliopo Mnazi mmoja jijini humo.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa