• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC UBUNGO ATATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA SHEKILANGO NA MBEZI

Posted on: August 14th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe.Kisare Makori tarehe 14/8/2020 atembelea eneo la soko la Shekilango na mbezi  ilikujionea changamoto ambazo wafanyabiashara wa maeneo hayo  wamekuwa wakilalamika na kuzitolea ufumbuzi changamoto zao.

Wakati akitembelea maeneo hayo aliongozana na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Ndg.James Mkumbo, Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic na wataalam kutoka katika Manispaa hiyo.

Dhumuni la kutembelea  katika masoko hayo ni kutatua changamoto  na kuhakikisha wafanyabiashara wanakuwa katika mazingira ya amani wanapokuwa  wanafanyabiashara zao.

Nitolee ufafanuzi wa eneo hili la soko la shekilango liko chini ya umiliki wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kuanzia leo ijulikane hivyo. alisema Makori

Aidha Dc aliagiza uchaguzi ufanyike wa kuchagua viongozi wapya wa soko la shekilango  na kufikia jumatatu uchaguzi uwe umefanyika  ili soko lipate  uongozi  mpya kwani muda wa ukomo wa viongozi wa masoko ni  mwaka mmoja tu kwa mujibu wa sheria za uendeshaji wa Manispaa pamoja na sheria ndogo za uendeshaji wa masoko.

Pia Dc aliongeza kuwa muda wa kudumu madarakani ni mwaka mmoja ila uongozi wa soko  uliopo sasa una zaidi ya mwaka mmoja kwa hiyo kuna kila sababu ya kufanya uchaguzi.

Vilevile makubaliano ya tozo za malipo  yaliyopitishwa kwa mabanda ya soko hili la shekilango ni elfu sabini na tano kwa mabanda ya mbele, elfu hamsini kwa mabanda yaliyo katikati na elfu ishirini na tano kwa mabanda ya nyuma.

Aidha niagize TAKUKURU kufanya uchunguzi katika suala zima la akaunti ya saccos ya soko  la shekilango kutokana na ukaguzi uliofanyika kuonyesha kuna ubadhilifu usio wa haki. Aliongeza Dc

Ikiwemo hati ya mashaka ya saccos hiyo, udanganyifu wa taarifa za fedha na kutokuitishwa kwa mkutano mkuu wa chama n.k

Sambamba na hayo kwa wafanya biashara wa Mbezi Dc  alisema kuwa "tunawajengea mabanda matano yenye thamani ya Milioni mianne na tisini na sabakwa ajili yenu.

Pia hakutakuwa na ulipaji wa kodi zaidi ya ushuru na kila mfanyabiashara kuhakikisha anakitambulisho cha mjasiriamali.

Mwisho Dc aliwataka wafanyabiashara kufanyabiashara kwa amani  baada ya changamoto zao kutatatuliwa na kukubaliana na maagizo yaliyotolewa.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa