• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC UBUNGO ATOA MAELEKEZO KWA WATENDAJI NA WENYEVITI WA MITAA

Posted on: June 22nd, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James Leo tarehe 22/06/2022 ametoa maelekezo yafuatayo kwa watendaji na viongozi 


1. USAFI NA MAZINGIRA;


■DC amewataka watendaji wa Kata na Mitaa kuhakikisha usafi unaimarika kwenye maeneo yao ikiwa ni pamoja na kusimamia maeneo ambayo machinga wameondolewa na kuwaondoa wanaorudi ili mji uwe safi

■Ametoa siku Tatu kwa watendaji wa kata zilizopo Tarafa ya kibamba na Idara ya Mazingira  kuhakikisha wanasimamia usafi kwenye maeneo yao kwani ni machafu. 

Aidha, DC amezipongeza kata za tarafa ya Magomeni kwa kusimamia vyema uondoaji wa machinga kwenye maeneo yao.

• ULINZI NA USALAMA;

■James amewataka viongozi hao kuhakikisha mitaa yote inakuwa na vikundi vya ulinzi shirikishi, kuondoa kamluni ya  QNET kwenye mitaa yao  kwa  kuhakikisha wenye nyumba wote ambao wamepangisha kampuni hiyo wanawaondowa, 

■Ili kulinda maadili ya katika jamii DC amewataka watendaji na Wenyeviti kuhakikisha vigodoro na ngoma zinazovunja maadili zisichezwe kwenye maeneo yao.

• ANWANI ZA MAKAZI; 

■Ili kufanikisha zoezi la Sensa  ya watu ba makazi linalotarajiwa kufanyika mwezi Agosti,

DC amewataka watendaji na Wenyeviti kuhakikisha hadi kufikia tarehe 17 Julai,2022 zoezi la uwekaji wa vibao liwe limefikia 100% kwani asilimi 58% ni ndogo.

■Aidha, James ameipongeza kata ya Sinza kwa kuwa Kata ya kwanza Kiwilaya kufanikiwa zoezi hilo na ku kuelekeza viongozi wa kata hiyo  Mtendaji  Kata na Mhe. Diwani na   Mwenyekiti wa Mtaa wa Sinza C ambae amekuwa wa kwanza kumaliza zoezi hilo wapatiwe motisha kwa kazi Nzuri waliyoifanya. 

■Kwa wazabuni ambao wanalega kutekeleza jukumu hilo DC ameelekeza wachukuliwe hatua.

• USHIRIKISHWAJI WA     WANANCHI;

■DC amewataka viongozi hao kuhakikisha wananchi wanashirikishwa kwenye ajenda zote za maendeleo ya maeneo yao ikiwa ni pamoja na kuwajulisha fedha zote za miradi zinavyoingia na namna fedha hizo zinatumika.

■Aidha ametoa shukrani kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa Kuleta kidato cha  tano na sita katika shule ya Sekondari ya Mashujaa iliyopo Sinza na Kiluvya iliyopo Kibamba na amewataka viongozi hao kulipokea swala hilo kwa Kierkegaard mikakati bora kwa wanafunzi watakaopangiwa shule hizo.

Baadhi ya Wenyeviti na Watendaji kata na Mitaa wanasikiliza maelekezo yanayotolewa na  Mkuu wa wilaya ya ubungo Mhe. Kheri james kwenye kikao kazi kilichofanyika tarehe 22 Mei, 2022





Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa