• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DIWANI KATA YA SINZA AZINDUA KAMATI YA USHAURI MPYA HOSPITALI YA SINZA

Posted on: March 4th, 2022

Diwani wa kata ya Sinza maanispaa ya Ubungo Rahael Nyange Awino amezindua rasmi  Kamati mpya ya hospitali ya Sinza parestina na kuitaka ifanye kazi yake Kwa ufanisi ili kuboresha huduma za afya katika hospitali hiyo. 


Awino, amezindua Kamati hiyo leo Machi 4, 2022 baada ya Kamati iliyopita kumaliza muda wake, hafla iliyofanyika katika ukumbi wa lapazi uliopo lugulini na kuhidhuliwa na mganga Mkuu wa Manispaa hiyo.


Amesema, Kamati ya ushauri ya hospitali ni chombo mhimu Sana katika uendeshaji wa huduma za hospitali na ndio kiunganishi kikubwa cha wananchi na Serikali yao ngazi ya hospitali  katika utoaji wa huduma


Kazi yenu ni ya uwakilishi Kwa wananchi Kwa kusikiliza kero zao na kuziwasilisha Kwa wataalamu Kwa ajili ya utatuzi, wananchi wanatamani kupata huduma bora na ninyi ndio mtatimiza hitaji Lao Kwa kupunguza malalamiko Yao"


Awino, ameendelea kisistiza kuwa Kamati hiyo lazima ibuni mfumo mzuri wa kushughulikia malalamiko kabla hayajafika ngazi za juu ikiwemo changamoto ya upatikanaji wa Sawa, nidhamu ya watumishi na utoaji wa huduma sahihi Kwa gharama wanazozimudu.


"Kamati hii inawawakilisha wananchi katika kufanya maamuzi juu ya utoaji wa huduma katika hospitali, Kamati ni look cha  menejimenti ya hospitali inatumia kupata mrejesho  wa namna wanavyotoa huduma zamatibabu Kwa wananchi tukatimize julumu Hilo mhimu.


Katika kuthibitishwa nafasi Yao ya uwakilishi Kwa jamii, wanakamati wameahidi kufanyika daraja nzuri Kati ya  Serikali na wananchi Kwa kuhakikisha hospitali inatoa huduma Bora


Aidha, wanakamati wameahidi kuhamasisha jamii wajiunge na bima ya afya ili wananchi wawe na uhakika wa kupata huduma wakati wote bila shida yoyote.



Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa