• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA WATEMBELEA MANISPAA YA UBUNGO KUJIFUNZA

Posted on: March 14th, 2022



Wataalam kutoka Halmashauri ya Jiji la Tanga, Leo tarehe 14.3.2021 wamefanya ziara ya kikazi katika  Manispaa ya Ubungo Lengo ikiwa ni  kujifunza namna ya uendeshaji na usimamizi wa  Kituo Cha Mabasi Cha  Magufuli kilichopo Mbezi ikiwa ni maandalizi ya kufungua Kituo Chao kipya kilichopo Kange Jijini humo 


Kiongozi wa msafara huo Mchumi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga Bi. Mariam Chihimba amesema kuwa Lengo la ujio wao ni kuona namna Kituo kinavyoendeshwa kwa kuzingatia namna bora ya  upandishaji na uendeshaji  wa Kituo hicho na pia swala zima la  ukusanyaji wa mapato ili kuweza kupata elimu ambayo itaenda kuwasaidia katika uendeshaji wa stendi yao mpya 


"Tumefurashishwa na mfumo wa pangisha ambao Ubungo waliweza kuutumia"  na yote tuliyojifunza ikiwemo  matumizi ya Tehama ikiwemo  Pos machine, ufungaji wa camera(CCTV) Kama ulinzi wa Kituo  na pia swala zima la usimamizi wa Kituo ambao Meneja wa Kituo ameweza kutuelezea" alieleza Mariam


Mariama pia ameishukuru Manispaa ya Ubungo kwa ukarimu walioupata na kuweza  kujifunza mengi kuhusiana na Kituo hicho pia swala zima la ushirikiano uliopo Kati ya watalaam wa menejimenti ya Manispaa ya Ubungo ulivyo kwani umekuwa ni mfano tosha wakuigwa 


Aidha Afisa utumishi Manispaa ya Ubungo Selemani kateti ameishukuru Halmashauri jiji la tanga kwa kuichagua Manispaa ya Ubungo kuwa ya mfano kuwapa elimu na pia ameendelea kusisitiza kuhusu swala la mahusiano kuendelea kudumishwa na kuwakaribisha tena Manispaa ya Ubungo 


"Aliendelea kwa kusema kuwa anashukuru kwa waliyojifunza na kuwaeleza kuwa Kituo kinaendelea  na Ujenzi kwaiyo hata nyinyi mnaweza mkaendelea na utoaji wa huduma huku Kituo kikiendelea kujengwa"


N.b Mradi wa Ujenzi wa  Kituo ulianza Mwaka 2019-2020 na kujengwa kwa miezi 18, Kituo kinauwezo wa kupaki  mabasi 108 na pia kina majengo mbalimbali ikiwemo utawala, sehemu ya  kushusha na kupakia abiria,sehemu ya abiria n.k


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa