• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO YAFANYA MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA MADIWANI KUJADILI TAARIFA YA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

Posted on: June 8th, 2020

Manispaa ya Ubungo imefanya Baraza Maalum la kujadili taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali katika ukumbi wa Little Flower uliopo Mbezi.

Baraza hilo limeongozwa na Kaimu Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe.Ramadhani Kwangaya,  Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic ambaye ni Katibu wa Baraza.

Baraza hilo limehudhuriwa na Mkaguzi Mkuu wa Nje-Ubungo Ndg. Suleiman Mwaliwale, Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Serikali za Mitaa Marry P. Assey,Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg. James Mkumbo, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya,Maafisa Tarafa wa Wilaya ya Ubungo, Madiwani na wataalam kutoka Manispaa.

Baraza hilo maalum lilikuwa na lengo la kupitia hoja za Mkaguzi wa nje na wajumbe wa Baraza kuzijadili kwa ajili ya kuzitolea majibu kabla hazijaenda kwenye Kamati ya Bunge.

Baraza lilikubaliana na hoja ambazo zilitolewa na mkaguzi wa hesabu za Serikali na kuitaka Halmashauri izingatie maoni ya kamati ya fedha  yaliyotolewa kwa mwaka wa fedha 2019/2020 na kufanyiwa kazi.

Vilevile Baraza lilipendekeza udhibiti uongezeke katika suala la mapato.

Pia Baraza lilishauri mkandarasi anaehusika na ujenzi wa jengo la Halmashauri kumaliza kazi kwa wakati.

Aidha Ndg. Suleiman Mwaliwale alitoa pongezi kwa Menejimenti ya Halmashauri na Madiwani kwa juhudi zilizofanyika kupata hati safi kwa miaka mitatu mfululizo.

Nae Mary Assey aliipongeza Manispaa ya Ubungo na Menejimenti kwa kupata hati safi kwa miaka mitatu mfululizo tangu kuanzishwa na kwa kujibu hoja ipasavyo na kuzifunga baadhi kama zilivyotolewa na Mkaguzi wa nje.

"Niwaombe mhakikishe kuna ukusanyaji mzuri wa mapato na kukusanya madeni na kuyafuatilia, bajeti isimamiwe na manunuzi na matumizi ya fedha yafuate taratibu." Aliongezea Marry Assey.

Katibu Tawala wa Wilaya alisisitiza hela inayokusanywa ihakikishwe inapelekwa benki. Vile vile watumishi wafanye kazi kwa kufuata taratibu na sheria.Watendaji ambao wana madeni ya muda mrefu wachukuliwe hatua.

Mwisho Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic aliwashukuru kwa juhudi na ushirikiano unaoendelea kutolewa na Ofisi ya Ras pamoja na waheshimiwa madiwani na kuahidi kufanyia kazi ushauri uliotolewa.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa