• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA FEDHA MANISPAA YA UBUNGO YAWAPONGEZA WAJASIRIAMALI KUHAMIA MAENEO YALIYOTENGWA

Posted on: October 18th, 2021

Kamati ya Fedha na Utawala  Manispaa ya Ubungo imetembelea mabanda waliohamishiwa wajasiriamali wadogo waliokuwa wanafanya biashara kituoni hapo katika maeneo yasiyo rasmi,  ikiwemo wale waliokuwa kwenye eneo la kupakia na kushusha  abiria  hali ambayo ilikuwa inaharibu mwonekano wa kituo pamoja na  kusababisha  usumbufu kwa abiria.

ziara hiyo imefanyika  Oktoba 18,2021 ikiwa ni utekelezaji wa majukumu ya Kamati hiyo kila baada  ya miezi mitatu.

Kamati iliamua kutembelea eneo hilo ili kuona utekelezaji wa agizo la Serikali la kuhakikisha wamachinga waliokuwa wanafanya Biashara Katika maeneo ambayo siyo rasmi wamehamia  kwenye maeneo yaliyotengwa.

Wajumbe wa Kamati hiyo wakiongozwa na Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mhe. Jaffary Juma Nyaigesha amewapongeza wajasiriamali hao kwa  kuhamia Katika  eneo la muda lililopangwa  ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali.

Pamoja na pongezi hizo, Nyaigesha amewataka wajasiriamali hao kuzingatia usafi wa mazingira kwa ajili ya afya zao na kutunza mazingira ya kituo

Akitoa maelezo mbele ya kamati hiyo, Afisa Biashara wa kituo hicho Geofrey Mbwana amesema kuwa jumla ya wajasiriamali 447 walihamishiwa kwenye mabanda hayo ambapo Kati ya hao wajasiriamali 236 walikuwa kwenye eneo la kupakia na kushusha abiria

"Kwa sasa tatizo la wajasiriamali waliokuwa maeneo yasiyo rasmi katika kituo limeisha baada ya kukubali kuhamia kwenye mabanda ya muda yaliyojengwa na Manispaa kwenye kituo hicho ili wayatumie kwa muda wakati jengo rasmi la baba na mamalishe halijajengwa"

Aidha, wajumbe wa Kamati hiyo  walitembelea miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo Kituo cha mabasi cha Magufuli, Hospitali ya Wilaya iliyopo Kimara Baruti, Ujenzi wa madarasa matatu shule ya Msingi msewe na shule ya Msingi  Matosa


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa