• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI, AFYA NA ELIMU YA UBUNGO MC YATEMBELEA MIRADI

Posted on: November 9th, 2022


- Leo Novemba 9, 2022 kamati ya huduma za Uchumi, Afya na Elimu imefanya ziara katika mradi wa shule maalumu ya sekondari ya wasichana inayojengwa katika eneo la Njeteni kata ya Kwembe pamoja na kutembelea hospital ya Palestina iliyopo kata ya Sinza.

- Kamati hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wake ambaye ni diwani wa Viti Maalumu Mhe. Liberata Samson ilipotembelea miradi hiyo imegundua madhaifu mbalimbali ambapo wamewaelekeza wakandarasi kufanyia kazi mapema kutoka sasa ili kukabidhi miradi ambayo itakua imekidhi vigezo vyote na inayoonesha thamani ya fedha ambayo serikali imeweka

- Katika Mradi wa shule hiyo ya wasichana ambao unajengwa na mkandarasi Bandiko Construction limited ambapo mradi huo una thamani ya shilingi Bilioni 3 na kwasasa umefika zaidi ya asilimia 90 ukitarajiwa kukamilika Disemba 30. Mradi huo una jumla ya madarasa 12, maabara 4 pamoja na mabweni 3

- Katika ziara hiyo Kamati imebaini baadhi ya mapungufu katika mradi huo ikiwemo kutokuridhishwa na uimara wa frame za milango hivyo wamemuagiza mkandarasi kubadili frame hizo mara moja

- Kwa upande wa hospitali ya Palestina iliyopo Sinza, kamati imekagua mradi wa umaliziaji ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje OPD lenye thamani ya shilingi milioni 326. Akizungumza wakati wa kuwasilisha ripoti ya mradi huo kaimu mganga mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Elizabeth Ngulo amesema kuwa mradi huo ambao umefikia asilimia 93 ulitarajiwa kukamilika Oktoba 30 lakini changamoto kadhaa zimekwamisha mradi huo kukamilika kwa wakati ikiwemo changamoto ya kuchelewa kwa malipo kwa mafundi hali inayopelekea nguvu kazi kupungua

- Kamati imebaini mapungufu mbalimbali katika mradi huo ikiwemo ubora wa madirisha yaliyowekwa na hivo wamemuagiza mkandarasi kurekebisha haraka kutoka sasa kabla ya kukabidhi mradi

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa