• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA KUCHUNGUZA MAENEO YA WAZI YAWASILISHA RIPOTI

Posted on: September 7th, 2021

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic leo septemba 7, 2021 amepokea ripoti ya Kamati maalumu iliyoundwa kutembelea na kuchunguza maeneo ya wazi katika kata tano za Manispaa hiyo ikiwa ni moja ya chanzo cha Mapato kwa Manispaa

Kamati hiyo ilitembelea na kukagua maeneo yaliyopo katika kata za  Sinza, Manzese, Mburahati, Goba na Makurumla.

Akiongea wakati  wa kukabidhi ripoti, Mwenyekiti wa Kamati hiyo  Mhe. Eliamu Manumbu amesema kuwa, Kamati imefanikiwa umetembelea  maeneo 285 ambapo maeneo 51   ni ya wazi,  211 vizimba vya maji na maeneo mapya 23 yanayoweza kukusanya kiasi cha shilingi  564,352,960  kwa mwaka mzima kwa kata tano zilizotembelewa na kukaguliwa.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic {wa kwanza kulia} akikata utepe wa baadhi ya ripoti za uchunguzi wa maeneo ya wazi katika kata tano ikishuhudiwa na mwenyekiti wa kamati hiyo Eliamu Manumbu {katikati}

Aidha, Mwenyekiti ameendelea kueleza kuwa, Kamati imependekeza zoezi hilo lifanyike kwenye kata 9 zilizobaki ili kubaini maeneo hayo ambayo ni chanzo mikubwa cha Mapato kwa Manispaa hususani katika kipindi hiki ambacho bajeti ya Manispaa hiyo imepanda kutoka bilioni 18 Hadi kufikia bilioni 27  Kwa mwaka huu wa fedha.

Mwenyekiti wa Kamati amefafanua kuwa milioni 564.4 zilibainishwa na Kamati kukusanywa katika maeneo hayo haijajumuisha tozo za maeneo ya wazi ambayo ukubwa halisi haukupimwa wakati Kamati ikifanya uchunguzi,  kutokana na sababu hiyo Manispaa inauwezo wa kukusanya mapato mengi zaidi ya hayo yaliyobainishwa.

Kamati hii iliyojumuisha waheshimiwa Madiwani, wataalamu, na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ni utekelezaji wa azimio la mkitano wa  Baraza la Madiwani lililoketi mwezi April mwaka huu lengo ikiwa ni kuyatambua maeneo hayo ikiwa ni moja ya chanzo cha Mapato ya Halmashauri.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa