• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA UKIMWI YATEMBELEA TAASISI YA KULEA WAZEE

Posted on: January 27th, 2023

Kamati ya kudhibiti UKIMWI Manispaa ya Ubungo leo 27.01.2023 imefanya ziara ya kutembelea kituo cha kulea wazee kilichopo Njeteni kata ya Kwembe kinachoitwa TUSHIKAMANE PAMOJA FOUNDATION chenye wazee 10 kati yao wanaume ni 6 na wanawake ni wanne

Akisoma taarifa ya kituo Afisa ustawi Hellen Samwel amesema kuwa wazee wanaochukuliwa ni waliofika miaka 60 na kuendelea na kituo hicho kinauwezo wa kuhifadhi wazee 24 ambapo mpaka sasa wako 10

Aidha, Mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye pia ni Naibu Meya Manispaa ya Ubungo Mhe. Yusuph Yenga amewapongeza viongozi waliojitolea katika foundation hiyo kuendelea na moyo huo huo wa kuwalea wazee hao

Yenga aliendelea kwa kuwaasa wajumbe kuhakikisha wanatembelea wahitaji hao kwa kuwapelekea mahitaji kadri mtu atakavyo barikiwa

Aliendelea kwa kusema kuwa Kama Halmashauri tutaendelea kuhakikisha wazee hao wanapata mahitaji yao kwa kushirikiana na maafisa ustawi

Wazee hawa wanapendeza na wanaonekana wanatunzwa vizuri. Alieleza hayo Yenga

Wajumbe wa kamati waliwashukuru walezi wa Kituo hicho na kuwapongeza na kuwaomba kuendelea kuwajali wazee hao

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KIWILAYA

    March 08, 2023
  • ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YAFANYIKA , DC KOMBA ATOA MAELEKEZO

    March 01, 2023
  • UBUNGO YATIA FORA KAMPENI YA SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM, RC MAKALLA AIPONGEZA

    February 25, 2023
  • BODI YA AFYA YAPITIA TAARIFA YA UTENDAJI ROBO YA PILI

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

FAHAMU ALICHOKISEMA DC KOMBA KWENYE ZIARA LEO | AIAGIZA TAKUKURU KUFANYA UCHUNGUZI
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa