• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA ULINZI WA WANAWAKE NA WATOTO MANISPAA YA UBUNGO LAKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Posted on: October 26th, 2021

Kamati  ya Ulinzi wa wanamke na watoto Manispaa ya Ubungo limekubaliana kuwachukulia hatua wahusika wa unyanyasaji  wa watoto wanaofanyiwa  ukatili wa kijinsia Katika mazingira mbalimbali ikiwemo mashuleni ,mitaani na majumbani   ikiwa ni Mkakati wa kutokomeza matukio ya unyanyasaji

Akiongea wakati wa kikao hicho kilichofanyika  tarehe 26.10.2021  Zainabu Masilamba alisema kuwa kamati itatembelea na kutoa elimu kuhusu unyanyasaji wa kijinsia  kwa wanafunzi na walimu

Aidha kamati imependekeza uanzishwaji wa clabu za kupinga ukatili wa kijinsia katika Shule zote za Msingi na sekondari ili kuwajengea uwelewa juu ya maswala hayo na kupunguza matendo ya unyanyasaji

Bi.zainabu Masilamba Katibu wa kamati hiyo  alieleza kuwa kamati imefanikiwa kushughulikia  ufuatilia wa kesi 25 za ukatili wa kijinsia wa watoto ikiwemo ulawiti,ubakaji na utumikishwaji ambazo zipo katika hatua mbalimbali za kisheria

Aliendelea kusema kuwa kamati imefanikiwa  kuwapatia msamaha wa matibabu wazeee 1855,  migogoro 249 ya matunzo ya watoto imeshughulikiwa ambapo migogoro 229 imeshughulikiwa na migogoro 20 imepelekwa mahakamani kwa hatua zaidi

Aidha, Mashauri 103 ya ndoa yameshughulikiwa Kati yao 95 yamesuluhishwa 4 yamepelekwa mahakamani na 2 yamerudishwa BAKWATA, Watoto 18 wanaume 12 na wanawake 6 wamepatiwa hifadhi ya muda Katika maeneo ambayo yapo ndani ya Manispaa ya Ubungo pamoja na kwa watu wanaoaminika

Na pia Wagonjwa 44,077 wanaume 20,039 na wanawake 24,038  wamepatiwa msamaha wa  Kodi ya matibabu kwa gharama ya shilingi 146,782,484.5 zilizotolewa na Manispaa ya Ubungo kupitia vituo vyake

Kati ya vikundi  40 vilivyotarajiwa kupatiwa mikopo hiyo, vikundi 21 vya watu wenye ulemavu vimehakikiwa na kupatiwa mikopo ya vyombo vya Moto,

Na kufanikiwa maombi 5  ya malezi  ya kambo yalipokelewa na kufikishwa kwa kamishna wa ustawi wa jamii

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa