• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM WILAYA YA UBUNGO KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO CHAFANYIKA TAREHE 23/6/2020

Posted on: June 23rd, 2020

Kikao hicho  cha Halmashauri kuu kimefanyika katika ukumbi wa LA DARIOT na kuongozwa na Mwenyekiti wa chama Wilaya ya Ubungo Ndg.Lucas Mgonja Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe.Kisare Makori na Kuhudhuriwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo James Mkumbo  viongozi wa chama wilaya ya Ubungo na wataalam kutoka Manispaa ya hiyo na mashirika na wakala wa serikali wanaofanya kazi katika Wilaya hiyo.

Wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa Ilani kwa kipindi cha miaka mitano Mkuu wa Wilaya alipongeza ongezeko la mapato kwa 90% na kutumika kwa mfumo wa kietroniki wa kukusanyia mapato( POS machine).

Vilevile Halmashauri imefanikiwa kupata Hati safi kwa kipindi chote tangu 2016 mpaka 2020.

Pia  sekta ya Afya imeimarika kwa upatikanaji wa dawa na chanjo ya watoto chini ya miaka mitano na Utekelezaji wa miradi ya Afya mfano ujenzi wa zahanati ya Kibamba, kituo cha Afya Kimara na *"Nitoe shukrani kwa Mhe.Rais Dk. John Pombe Magufuri kwa kusaidia katika kuhakikisha Wilaya ya Ubungo inapata hospitali ya Wilaya."* Aliongeza Mkuu wa Wilaya.

Pia Usambazaji wa maji umefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutoka 55% mpaka 80% zaidi kwa wananchi wa Wilaya ya Ubungo ambao maeneo yao yalikuwa na changamoto ya upatikanaji wa maji.

Nitoe pongezi pia kwa Sekta ya Maendeleo ya Jamii kwa kuwawezesha vikundi vya vijana, walemavu na wanawake kufikia malengo yao na kupewa elimu ya ujasiriamali kwa vikundi 788.

Nipongeze pia kwa sekta ya Ustawi wa jamii kwa kufanikiwa kutoa vitambulisho vya msamaha wa kupata matibabu kwa wazee 13,446, vikundi 33 vya walemavu wamepatiwa mikopo pia.

Pia Sekta ya Mipangomiji kwa ulipaji wa fidia eneo la Mbezi Luis, kufanya uthamini wa maeneo mapya kama kibesa n.k na kwa sekta nyingine kama  Teknolojia ya Habari na Uhusiano, sekta ya kilimo, ushirika,sekta ya Mifugo, Tarula, Dawasco, sekta ya Elimu msingi na sekondari, sekta ya Utamaduni na Michezo niwapongeze pia  kwa utekelezaji mzuri wa shughuli za kimaendeleo.

Mkuu wa Wilaya alishukuru kwa uongozi wa chama kwa ushirikiano wao kwa kipindi chote pamoja na Mkurugenzi na timu nzima ya Wataalam.

Wakati anafunga kikao Mwenyekiti wa CCM Wilaya alimpongeza Mkuu wa Wilaya na  uongozi mzima wa wataalam kutoka Manispaa ukiongozwa na Mkurugenzi kwa kazi nzuri zinazofanyika kwa ajili ya  wananchi wa Ubungo na utekelezaji mzuri wa miradi.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa