• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KILIMO NI AJIRA, VIJANA TUCHANGAMKIE FURSA

Posted on: July 22nd, 2022

Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa katika sekta ya kilimo kujiajiri na kujikwamua kiuchumi badala ya kutegemea kuajiriwa pekee

Kauli hiyo imetolewa na wajumbe wa kamati ya Uchumi, Elimu na Afya ya Manispaa ya Ubungo walipotembelea na kukagua mradi wa shamba darasa lililopo Kibesa kata ya mbezi ambapo serikali imewekeza miundombinu kwa ajili ya kuwezesha vijana kulima mazao mbalimbali kwa njia ya umwagiliaji.

Akiongea wakati wa ukaguzi wa mradi huo, mwenyekiti wa kamati hiyo Edward Lazier Mhe. Diwani kata ya Saranga amesema kwa kutumia eneo hilo vijana wa ubungo wananwaweza kufanya uzalishaji wa mazao mbalimbali ya kilimo kwa njia za kisasa na wakajipatia kipato badala ya kukaa kusuburi kuajiriwa.

Katika mradi huo, Halmashauri imewekeza miundombinu ya maji, kutwaa ardhi na ujenzi kwa kitalu nyumba kupitia fedha za ofisi ya waziri mkuu ambapo vijana 100 wamepata mafunzo ya kutengeneza kitalu nyumba na uzalishaji kupitia kitalu hicho, kazi iliyobaki ni vijana kuona umuhimu wa kujiajiri kupitia kilimo ambacho kinamahitaji makubwa sokoni.

Aidha, Laizer amesema zaidi ya milioni 350 zimewekezwa katika eneo hili ambapo milioni 300 zimelipia fidia ya ardhi ekari 28, milioni 32 kuchimba kisima na miundombinu yake na milioni 20 kutoka ofisi ya waziri mkuu zimetumika kujenga Kitalu nyumba ni muhimu eneo hili likawa kituo cha uzalisjhaji kwa kufanya uwekezaji mkubwa zaidi kwa kulima mazao mbalimbali ili wananchi wajifunze kwa vitendo.

Kwa umape wake Hamisi Hassan mmoja wa vijana wanaonufaika na mradi huo ameishukuru serikali na ofisi ya waziri mkuu kwa kuwezesha vijana kupitia sekta ya kilimo ili wajiajiri badala ya kusuburi kuajiriwa na serikali kwani kilimo kinalipa

Hamisi amesema kuwa “wito wangu kwa vijana ni kudhubutu kuanza kulima kwani mahitaji ya mazao ya chakula ni makubwa sana, mfano kwenye kitalu nyumba hiki tunazalisha hoho za rangi nyekundu na njano na soko lake ni kubwa na zinauzwa bei nzuri sana,” 





Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa