• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KITUO CHA RASILIMALI KILIMO KIBESA CHAPOKEA UGENI KUTOKA CHUO CHA MAJI

Posted on: June 13th, 2020

 Mkuu wa Idara ya Kilimo,Umwagiliaji  na Ushirika Happiness Mbelle amepokea ugeni wa wanafunzi kutoka chuo cha Maji  (Water Institute) waliokuja kujifunza teknolojia ya kilimo cha umwagiliaji kwa njia ya matone(Drip Irrigation).

Kituo hicho kina eneo la ukubwa wa ekari 28  lililopo Kata ya Mbezi Mtaa wa Mpigi Magohe eneo la Kibesa na jumla ya Vikundi vitatu 3 vya vijana ambavyo ni Youth Confiderative versus poverty, kikundi cha Vijana wakulima Mapambano kilichopo kata ya Mbezi (kibesa) na kikundi cha vijana shupavu kutoka Kata ya Kibamba ambavyo vimefanikiwa kuanza uzalishaji katika eneo husika.

Aidha vikundi hivyo vilipata  mkopo wa 10℅ kutoka katika mfuko wa vijana na walemavu  kupitia Idara ya maendeleo ya jamii na vimefanikiwa kuzalisha mazao mbalimbali kama (mahindi,miogo,viazi,hoho,bamia n.k)

Halmashauri imeendelea kushirikiana na wadau wa kilimo IITA katika kuhakikisha vikundi vinapata elimu bora,msaada wa pembe jeo  na elimu ya kanuni bora za kilimo ili kuhakikisha wanazalisha kwa tija ilikufikia uchumi wa kati wa viwanda. Alisema hayo Happiness Mbelle

"Pia kupitia mradi huo taasisi mbalimbali zimeshawishika kuja kujifunza na mikakati iliopo ni kujenga nyumba ya kijani(Green house), visima na majengo yatakayotumika kama madarasa ya kufundishia wakulima na kutengeneza jengo la usindikaji (Agricultural Processing Industry) ili kuongeza thamani ya mazao yanayozalishwa" Aliongezea Happiness Mbelle

Tunaendelea kuomba wadau na  mtu mmoja mmoja wanaotuzunguka kutoa ushirikiano ili tufikie malengo. "Sambamba na hilo Happiness Mbelle alisema kuwa  mradi una  changamoto kubwa ya maji"

Nae mshauri  wa wanafunzi kutoka chuo cha maji Ndg.Alistides Alfred alishukuru kwa elimu ambayo wanafunzi wameipata kutoka kwa Afisa  Kilimo wa Manispaa kwani imeongeza ufanisi na imewajenga wanafunzi kitaaluma zaidi na kuhaidi kushirikiana na Afisa Kilimo bega kwa bega katika kuhakikisha tatizo la maji linatatuliwa kwa kupitia wataalam kutoka katika chuo hicho.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa