• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAAFISA UGANI MANISPAA YA UBUNGO WAPEWA MAFUNZO REJEA KUHUSU MFUMO WA MOBILE - KILIMO( M-KILIMO)

Posted on: September 2nd, 2021

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic leo tarehe 2 septemba,2021  amefungua mafunzo elekezi kwa maafisa Ugani yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Manispaa hiyo   yenye lengo la kuwaongezea ujuzi na ustadi Kuhusuana na  mfumo wa MOBILE- KILIMO (M-kilimo) teknolojia ya kutumia simu ambao unalenga kusaidia wakulima,wafugaji na wavuvi kuyafikia masoko ya mazao kwa njia ya simu

Akiongea wakati wa kufungua mafunzo hayo   Beatrice amewataka maafisa Ugani hao kuhakikisha kila mmoja wao anazingatia mafunzo hayo  na baada ya kuwezeshwa waweze   kujengea uwezo Kaya 10  kuhusuana na maswala ya kilimo 

"Ni Fursa kwenu Kama maafisa Ugani wa mjini kuhamasisha kilimo hata Cha mbogamboga  Katika Kaya ili kilimo kiweze kuendelea na kukua" alielezea Beatrice 

Aidha muwezeshaji kutoka Katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Omari  Rajabu ameelezea mchango wa kilimo kwa taifa  ikiwemo kuongeza Pato la taifa 26.9% , ajira 58.1%, chakula Cha taifa 100% 

Aliendelea kwa kuwajengea uwezo wataalam hao namna sahihi  kutumia mfumo huo wa M-kilimo

Nae Mkuu wa Idara ya  kilimo,umwagiliaji na ushirika  Manispaa ya Ubungo Happiness Mbelle amemshukuru muwezeshaji na kuwataka maafisa Ugani kuzingatia mafunzo hayo na kuhakikisha wanayafanyia kazi hasa Katika swala la matumizi ya mfumo   yatayochochea tija Katika sekta ya kilimo

N.B Mafunzo hayo elekezi yaliyoanza leo  yatakafanyika kwa muda wa siku mbili na kumalizika kesho tarehe 3,septemb,2021





Attachments area










Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa