• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MADIWANI UBUNGO WAFANYA ZIARA KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KAHAMA

Posted on: October 31st, 2022


- Madiwani kutoka Halmashauri ya Manispaa Ubungo pamoja na wataalamu mbalimbali leo jumatatu Oktoba 31, 2021 wamefanya ziara katika halmashauri ya Manispaa Kahama kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu ukusanyaji wa mapato pamoja mikopo ya asilimia kumi inayotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri

- Ziara hiyo maalumu ya kujifunza ambayo imeongozwa na Mstahiki meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe. Jaffary Juma Nyaigesha imekua ni ziara yenye mafanikio kutokana na mambo mbalimbali ambayo madiwani hao pamoja na wataalamu wamejifunza

- Aidha Mkurugenzi mkuu wa Manispaa ya Kahama Ndugu Anderson Msumba amepokea vizuri ziara hiyo kisha akaongoza kikao maalumu ambacho kililenga kutoa mikakati mbalimbali ya namna ambavyo Manispaa ya Kahama inaendesha shughuli za maendeleo ikiwemo ukusanyaji wa mapato pamoja na miradi ya maendeleo. Akizungumza katika kikao hicho, Msumba amesema kuwa Manispaa ya Kahama inatarajia kukusanya mapato ya shilingi bilioni Tisa kwa mwaka huu wa wa fedha 2022 - 2023 kutoka kwenye vyanzo vya ndani hasa ikiwa ni ushuru wa huduma

- Msumba ameendelea kusema kuwa katika kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia mapato ya ndani ambapo kutoka mwala 2016 mpaka 2022 Manispaa imetumia Bilioni 5.4 kwenye mikopo hiyo na deni lililopo ni shilingi milioni 495. Kubwa ameeleza juu ya kuandaa mazingira wezeshi ya kazi kwa vikundi hivyo ili vifanye kazi na kurejesha mapema mikopo hiyo. Bwana Msumba ametoa mfano kuwa karibu samani zote za ofisi ya manispaa Kahama zimetengenezwa na wajasiriamali waliofadika na mikopo ya asilimia 10

- Pia katika suala zima la kuwajengea wafanyabiashara wadogo mazingira mazuri ya biashara, Msumba amesisitiza sana suala la ushirikishwaji wa Wananchi ili wawe sehemu ya maamuzi. Manispaa ya Kahama imetenga maeneo maalumu ya wafanyabiashara wadogo ambapo mchakato wake wa kukubalina iliwachukua takribani miaka minne

- Akiongea baada ya ziara hiyo Mstahiki Meya wa Ubungo Mhe. Jaffary Nyaigesha ameeleza kuwa wamefurahishwa sana na mikakati ya maendeleo ya Manispaa Kahama na wamechukua mafunzo hayo na kuahidi kwenda kuyatekeleza kwa vitendo

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa