• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MADIWANI WA MANISPAA YA UBUNGO WAKUTANA KUPITIA SHERIA NDOGO MPYA

Posted on: January 20th, 2023

Madiwani wa Manispaa ya Ubungo wameridhia Sheria ndogo mpya za halmashauri hiyo baada ya kusainiwa na mamlaka husika tayari kwa matumizi katika kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo sheria ndogo ya afya na usimamizi wa mazingira.

Madiwani wameridhia kutumika kwa sheria ndogo hizo januari 20, 2023 kwenye mafunzo ya kupata mrejesho wa kusainiwa kwa sheria hizo ili kuwa na ufahamu wa kuanza kutumika katika maeneo yao.

Akiwasilisha sheria ndogo hizo Mkuu wa kitengo cha huduma za sheria wa manispaa hiyo Kissa Mbila amesema kuwa kitengo kimeona ni vema kuwasilisha mrejesho wa sheria hizo kwa waheshimiwa madiwani ili wazipokee na kuzifahamu kabla hazijaanza kutumika.

Kissa alieleza kuwa "Najua Madiwani mlishiriki kwenye mchakato wa utungaji wa sheria hizi lakini tumeona busara kuleta mrejesho huu ili mfahamu lakini pia kuridhia matumizi yake mkiwa kama viongozi na wasimamizi wa Halmashauri"

Akianisha sheria hizo zilizotangazwa kwenye tangazo la serikali la tarehe  15 Julai, 2022, Kissa ametaja sheria ndogo 4 ikiwemo  sheria ndogo za afya na usimamizi wa mazingira GN Na 495, sheria ndogo za ada na ushuru GN Na 498, sheria ndogo za ushuru wa huduma GN Na 497 na sheria ndogo za vituo vya mabasi na maegesho ya vyombo vya moto

Wakiongea baada ya kuridhia sheria kuanza kutumia Madiwani wamepongeza kitengo cha sheria kufanya mafunzo hayo na kupendekeza kuanza mchakato wa kufanya marekebisho ya baadhi ya vifungu ili viwe rafiki kwa wananchi wa Ubungo.

Ili kuzifahamu kwa undani sheria hizo  tembelea kwenye Tovuti ya Halmashauri  www.ubungo.go.tz


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KIWILAYA

    March 08, 2023
  • ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YAFANYIKA , DC KOMBA ATOA MAELEKEZO

    March 01, 2023
  • UBUNGO YATIA FORA KAMPENI YA SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM, RC MAKALLA AIPONGEZA

    February 25, 2023
  • BODI YA AFYA YAPITIA TAARIFA YA UTENDAJI ROBO YA PILI

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

FAHAMU ALICHOKISEMA DC KOMBA KWENYE ZIARA LEO | AIAGIZA TAKUKURU KUFANYA UCHUNGUZI
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa