• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU UHAKIKI WA TAARIFA ZA ANWANI ZA MAKAZI YATOLEWA RASMI

Posted on: June 30th, 2022

Mafunzo elekezi kwa wakusanya taarifa za Anwani za Makazi (Data collectors) na watendaji wa Mitaa (90) iliyopo Manispaa ya Ubungo wamepewa elimu  kuhusu uhakiki wa taarifa ambayo yamefunguliwa rasmi  Leo tarehe 30.6.2022 yakilenga kuhamasisha uchapakazi, weledi katika kazi na uzalendo

Akifungua mafunzo hayo Afisa utumishi Manispaa ya Ubungo Selemani kateti amewataka wahusika katika zoezi hilo kuhakikisha wanazingatia kufanya kazi kwa maadili na pia kuongeza ufanisi ili kufikia lengo

Aliongeza kwa kusema kuwa "Tumelenga kuwatumia nyinyi kwa sababu mlihusika toka kuanza kwa zoezi hili, tuna Imani zaidi mtaenda kulifanya kwa ufanisi zaidi" 

Aidha Mratibu wa zoezi la Anwani za Makazi kitaifa Ndg. Jampyon Mbugi Aliendelea kuwasisitiza kuendelea kufanyia kazi zaidi kwani Serikali imewaamini  na kuwataka kuendelea kufanyakazi zaidi ya awali na ndo dhumuni la waliotumika katika awamu ya kwanza kurudia katika zoezi hili la uhakiki

Mmoja wa wakusanya Taarifa amewashukuru Manispaa ya Ubungo kupitia wataalam wake ambao wanawapa  ushirikiano  katika zoezi zima la  kuwawezesha kupata mafunzo na kuahidi kwenda kufanya kazi kwa ufanisi  ili kufikia lengo.


#UbungoYetuFahariYetu





Attachments area




Taarifa

  • HUDUMA YA KUKODI GARI LA MAJI TAKA June 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA August 12, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA April 26, 2021
  • TANGAZO KWA WAMACHINGA WOTE November 20, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • YUSUPH YENGA, NAIBU MEYA MPYA MANISPAA YA UBUNGO

    August 15, 2022
  • KIKAO KAZI, KAMPENI YA USAFI ITEKELEZWE IPASAVYO

    August 15, 2022
  • MADIWANI WASISITIZA UKAMILISHWAJI WA MIRADI KWA WAKATI

    August 12, 2022
  • RC MAKALLA NDANI YA STENDI YA MABASI MAGUFULI- CHANGAMOTO 5( TANO) ZA TATULIWA

    August 11, 2022
  • Tazama zote

Video

HAKUNA MGOMO WA MABASI MAGUFULI
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa