• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAFUNZO YA TASAF AWAMU YA TATU SEHEMU YA PILI YAFANYIKA MANISPAA YA UBUNGO

Posted on: June 16th, 2020

Wawezeshaji wa TASAF katika Manispaa ya Ubungo wamepatiwa mafunzo ya namna ya kufanya uhakiki wa Kaya zinazostahili kupata fedha za TASAF awamu ya tatu sehemu ya pili katika ukumbi uliopo Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Luguruni.

Mafunzo hayo yamezinduliwa na Mwakilishi wa Mkurugenzi wa TASAF ambae pia ni mtaalam wa ufuatiliaji na tathmini Ndg. Fariji Mishael na kuhudhuriwa na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ambae pia ni Afisa Kilimo Happiness Mbelle, wakuu wa Idara na vitengo na wawezeshaji wa kaya.

Wawasilishaji mada katika mafunzo hayo hayo ni Wakuru C. Nyaratha, Mratibu TASAF Wilaya, Justine Bisangwa, Afisa Ufuatiliaji na Ushauri Wilaya, Dorothy Shiyyo, Afisa Uhawilishaji TASAF Makao Makuu na Sylvia Meku, Meneja wa Takwimu za Jamii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu.

Wakati akifungua mafunzo Ndg. Fariji aliwataka wakuu wa idara na wawezeshaji kwa ujumla kuwa waadilifu pindi kazi ya uhakiki itakapoenda kuanza.

Aliongeza kuwa zoezi la uhakiki linaenda kufanyika ili kubaini kaya ambazo tunazo kama zinastahili kuendelea kupata fedha za TASAF.

”Kuna baadhi ya kaya zimefanya maendeleo kiasi kwamba ukienda kupima kwa vigezo vilivyopo utagundua wanaweza kuendesha maisha yao, hivyo wanapaswa kuwapisha wale wenye vigezo” Alisisitiza Ndg. Fariji.

Nae Kaimu Mkurugenzi aliwaambia wajumbe kuwa Ofisi ya Mkurugenzi ipo wazi kusikiliza ushauri au kutoa ushauri pale itakapohitajika. Aliongeza kuwa kwa Ubungo uwezeshaji wa TASAF ulikuwa ukifanyika kupitia Manispaa ya Kinondoni lakini kwa sasa Wilaya inajitegemea hivyo hatuna budi kutoa ushirikiano wa kutosha.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa