• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MANISPAA YA UBUNGO YAANZA KUADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA KUTAFUTA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI

Posted on: June 16th, 2021

Manispaa ya Ubungo imeanza maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma kwa kuwatembelea na kutatua changamoto zinazowakabili watumishi wa Manispaa hiyo ikiwemo kuhakikisha wanapata maslahi yao kwa wakati.

Akiongea na watumishi wa Manispaa hiyo wakati alipowatembelea kwenye vituo vyao vya kazi, Afisa utumishi wa Manispaa hiyo Selemani Kateti  ameeleza kuwa Manispaa kupitia idara yake inajitahidi kushughulikia maslahi ya watumishi ikiwemo upandishwaji wa madaraja, malimbikizo ya mishahara pamoja na  gharama za likizo.

Kateti amefafanua kuwa "Kwa  zoezi linaloendelea la upandishaji madaraja ya  watumishi, Manispaa ya Ubungo inatarajia kupandisha madaraja  watumishi 1409 ambao Kati ya hao  walimu 1090 watapandishwa, watumishi wa idara ya afya 206 na watumishi  wengine 113"

Aidha, Kateti amewaeleza watumishi hao kuwa wakati Serikali inatekeleza wajibu wake wa kutatua changamoto zao watambue kuwa wajibu wao ni kufanya kazi kwa uadilifu  na weledi mkubwa katika kuwatumikia wananchi na Taifa kwa ujumla.

Kutokana na namna Manispaa inavyoshughulikia maslahi ya watumishi wa Manispaa hiyo, baadhi ya  watumishi wameishukuru Serikali kwa kushughulikia changamoto zao hasa upandishwaji wa madaraja na wameahidi kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, ueledi na bidii kubwa katika kufikia maendeleo ya Taifa kupitia utumishi wao

"Nimefurahi leo kutembelewa na Afisa utumishi katika kituo chetu cha kazi Kwa lengo la kusikiliza kero zetu na kuzitoolea majibu hapo hapo, mfano amehakikisha wote tunaotakiwa kupanda  katika kituo chetu tupo kwenye orodha na ambao hawakuwa wamewasilisha nyaraka zote amehakikisha nyaraka hizo wanawasilisha ili nao wapate haki ya Kupanda, tunamshukuru Sana"

Maadhimisho ya wiki ya utumishi wa Umma Kwa mwaka huu yameeanza leo Juni 16 na yatamalizika Juni 23 yakiongozwa na  Kauli mbiu isemayo  *Kujenga Afrika tunayoitaka kupitia utamaduni wa uadilifu ambao utastawisha Uongozi wenye maono hata katika mazingira ya Migogoro*

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa