• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MANISPAA YA UBUNGO YAFANYA KIKAO NA WAKANDARASI UJENZI WA MADARASA 151

Posted on: October 18th, 2021

Manispaa ya Ubungo imekutana na wakandarasi  mbalimbali ikiwa ni hatua ya kuanza maandalizi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa 151 kwa shule za Sekondari katika Manispaa hiyo kupitia mgao wa  fedha zilizotolewa na Mheshimiwa Rais wa Jamuhuli ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan  Kwa ajili ya kumaliza changamoto ya upungufu wa  madarasa  

Ujenzi wa vyumba hivyo 151 utawezesha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha Kwanza Kwa mwaka 2022 kuwa na mazingira mazuri ya kujifunzia.

Akiongea wakati wa kufungua kikao hicho Oktoba 18,2021 Mkurugenzi wa Manispaa ya hiyo, Beatrice Dominic amesema kuwa lengo la kikao hicho ni kuweka mpango Mkakati  wa pamoja wa kuanza ujenzi wa madarasa hayo mapema iwezekanavyo ili kufikia mwezi desemba nyumba vyote viwe vimekamilika.

"Ninyi ni wadau muhimu Sana, Nawaomba  tushirikiane katika utekelezaji  wa mradi huu kwani najua uwezo na utaalamu  mnao  mfano mzuri tuliweza kujenga madarasa 9 shule ya Msingi king'ongo ndani ya mwezi mmoja, nina amini tukishirikiana tunaweza kukamilisha ujenzi huu  kwa wakati kwani fedha zitakuwepo" alieleza Beatrice.

Aidha Beatrice  amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa kutoa fedha shilingi bilioni 3.02 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 151 kwa shule za Sekondari

"Kwa maeneo yote ambayo miradi hii inatekelezwa, Beatrice ametoa wito Kwa wananchi wa maeneo hayo kutoa ushirikiano kwa wakandarasi watakaopagwa kwenye maeneo yao ikiwemo kuhakikisha  vifaa vya ujenzi haviibiwi" alieleza Beatrice

Akiongea kwa niaba ya wa wakandarasi wenzake waliohudhuria kiako hicho Milton Joseph amesema kuwa wanaishukuru Serikali kwa kuwamini tena wakandarasi  kutekeleza miradi ya maendeleo tuna ahidi kuifanya kazi hiyo kwa uadilifu na weledi mkubwa ili kuionesha Serikali kuwa tunaweza  kujenga Kwa viwango vinavyotakiwa na kwa wakati

Aidha, Wakandarasi wameishukuru Manispaa Kwa kuona umuhimu wa kukutana nasi Kwa lengo la kuweka mikakati ya pamoja namna ya  tutafanikisha kazi hiyo kwa wakati, urahisi na ufanisi mkubwa.

"Tamko rasmi la Mheshimiwa Rais kuamuru wakandarasi wahusike kujenga madarasa haya Badala ya mfumo wa zamani wa "Force account" ni hatua kubwa Sana kwetu Kwa sababu ni muda sasa wakandarasi walikuwa hawahusishwi kwenye utekelezaji wa miradi ya Maendeleo" alisema Joseph



Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa