• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MANISPAA YA UBUNGO YAIMARISHA USAFI KWENYE MAENEO YAKE

Posted on: January 28th, 2021

Manispaa ya Ubungo imeendelea kusimamia usafi katika mazingira yake hususani kwenye masoko ambako uzalishaji wa taka ni mkubwa sana na hivyo Manispaa imekuwa ikijitahidi kuzoa  taka hizo Kwa wakati


Akizungumza wakati wa  uzoaji taka katika soko la SIMU2000, Mkuu wa Hifadhi ya Mazingira na Usafishaji Lawi Bernard amesema Manispaa ya Ubungo ina jumla ya magari 3  na mtambo 1 kwa ajili ya kuondoa taka kwenye maeneo ya masoko ikiwemo  soko la  mbezi, Mabibo gameti, manzese na simu2000 pamoja na maeneo mengine ya umma


Bernard amesema kuwa  magari ya kuzoa taka katika masoko makubwa  unafanywa kwa  wastani wa mara tatu kwa wiki na hii ni kutokana na masoko hayo kuzalisha taka nyingi zinazotokana na bidhaa zinazoharibika kwa haraka hususani matunda.

 

Zoezi la kuzoa taka katika soko la SIMU2000  leo tarehe 28 januari, 2021

Uzoaji wa taka  wa mara kwa mara kwenye masoko na maeneo mengine umesaidia kwa kiasi kikubwa kufanya maeneo mengi ya Manispaa kuwa masafi hususani kwenye masoko ambako uzalishaji wa taka ambazo zinaweza kusababisha harufu mbaya ni mkubwa na hivyo kuleta kero kwa wananchi.


Kwa upande wa maeneo ya barabara na viunga Manispaa inafanya usafi Kwa kutumia wakandarasi ambapo Kwa sasa kampuni ya SUMAJKT  ndio inayofanya kazi hiyo


Na hii inahusisha kipande cha barabara ya morogoro kinachopita ndani ya Manispaa, barabara ya Sam nujoma, Mandela, barabara ya Goba na barabara nyingine zinazoozunguka Manispaa


Aidha, taka zinazozalishwa kwenye makazi ya watu Manispaa imeingia mikataba na wakandarasi  Kwa kila mtaa Kwa ajili ya kukusanya taka hizo 


Magari huwa yanazunguka kwenye Mitaa kulingana na mikataba na ratiba zilizopo kwenye Mitaa hiyo"

Gari la kuzoa taka likipita mtaani kukusanya taka 

Akiongea kwa niaba ya wafanyabiashara wa soko la SIM2000 Aisha Juma amesema kuwa anaishukuru na kuipongeza Manispaa ya Ubungo Kwa kusimamia vyema kazi ya uzoaji taka katika soko hilo.





Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa