• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MANISPAA YA UBUNGO YAZINDUA KAMPENI KABAMBE YA MAPATO KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII.

Posted on: May 5th, 2022

Manispaa ya Ubungo imezindua kampeni ya masuala ya ulipaji wa ushuru, leseni, tozo, kodi na ada mbalimbali, kampeni ambayo itafanyika kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia tarehe 05/05/2022 hadi tarehe 05/06/2022 ambayo itafanyika kupitia mitandao ya kijamii (Instagram, Facebook, Twitter, Youtube na Clubhouse) yenye jina la ‘ubungomanispaa’ lengo kubwa ikiwa ni kujenga uelewa na umuhimu juu ya ulipaji kodi, ada, ushuru na tozo mbalimbali za Manispaa.

Akifanunua katika kampeni hiyo Afisa Habari wa Manispaa hiyo ndugu Joina Nzali amesema Manispaa imeamua kuanzisha kampeni hii kwa njia ya mitandao ya kijamii ili kutoa fursa kwa wananchi na wafanyabiashara kushiriki kikamilifu kwa kupata elimu, kuuliza maswali, kufanya mijadala na kupata ufafanuzi wake, kutoa ushauri na kuhamasisha jamii kwa ujumla kuhusu ulipaji wa kodi mbalimbali za Manispaa.

Aidha, Nzali amewataka wananchi na wafanyabiashara wote kushiriki kwenye kampeni hii kwa kufatilia katika mitandao ya kijamii (instagram, twitter, Clubhouse na youtube) kwa jina la Ubungo Manispaa ili kupata nafasi nzuri ya kujenga uelewa wa pamoja juu ya kampeni hii kati ya serikali na wafanyabiashara kwa maeneo mbalimbali ndani ya Manispaa ya Ubungo.

Kwa upande wake Afisa biashara wa Manispaa hiyo ndugu Peter Ngoti ameeleza kuwa ada, tozo, ushuru na kodi ni moja ya vyanzo vya mapato ya Manispaa ambapo wananchi ndio wachangiaji wakubwa wa mapato hayo kutokana na biashara zao na hivyo kusaidia Manispaa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo shule, vituo vya afya miundombinu ya barabara na nyinginezo.

Aidha Ngoti ametoa elimu kwa wananchi juu ya ufahamu na ulipaji wa mapato na kuwasihi kuacha kusikiliza taarifa zisizo rasmi juu ya ulipaji wa mapato kutoka kwa wapotoshaji wa mitaani (vishoka).

Akiongea Mgeni rasmi wa uzinduzi huo Ndugu Zacharia Kimaro ambae ni meneja wa kampuni ya Musa Investiment automotive amesema anaipongeza Manispaa kwa kampeni hii ambayo italeta tija kwa wafanyabiashara endapo watachangia mapato kwani kwa kufanya hivyo watakuwa huru katika kufanya biashara zao ikiwa ni pamoja na kupata fursa mbalimbali na amewataka wafanya biashara wote kulipa mapato yote ya Manispaa kwa hiari kwani kwa kufanya hivyo Manispaa itaweza kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.



 

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa