• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MKURUGENZI MANISPAA YA UBUNGO AWATAKA WATAALAM KUONGEZA KASI YA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: November 10th, 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa  Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic leo tarehe 10 Novemba, 2020,  amefanya ukaguzi wa miradi  mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa kwenye Manispaa hiyo  yenye thamani ya zaidi ya shilingi  bilioni 9.7  lengo ikiwa  ni kujiridhisha na hali ya utekelezaji wa miradi hiyo.

Mradi wa ujenzi wa Jengo la utawala Manispaa ya Ubungo ukiwa kwenye hatua za umaliziaji

Beatrice amefanya ukaguzi huo akiwa na wakuu wa idara wa Manispaa hiyo na kuwaeleza  watalaam hao kuwa Hali ya utekelezaji wa miradi bado hairidhishi hivyo waongeze kasi ya usimamizi ili miradi hiyo iweze kukamilika Kwa wakati.


"Nadhani mnafahamu kuwa kila mradi una muda maalum wa kukamilisha, kutokamilisha Kwa wakati tunaenda kinyume na maagizo ya Serikali, nawagiza muongeze kasi ya usimamizi" alisisitiza Beatrice


Beatrice amefafanua kuwa , miradi hiyo inatekelezwa Kwa fedha za kutoka Serikali kuu na fedha za mapato ya ndani hivyo ni lazima ikamilike Kwa wakati ili kuboresha  huduma kwa wananchi  ambayo ndio adhima ya Serikali ya awamu tano

Mradi wa ujenzi wa Hospitali ya wilaya ukiwa kwenye hatua ya upauaji

Aidha, Beatrice ameendelea kueleza kuwa, mradi wa ujenzi wa standi ya daladala  Mloganzira pamoja na kuwasaidia wananchi wanaotumia hospitali ya Mloganzira lakini pia ni chanzo cha mapato Kwa Manispaa, hivyo ni muhimu kuikamilisha kwa wakati ili ianze kutumika.


Akiongea kwa niaba ya watalaam wa Manispaa hiyo warioshirizi ukaguzi wa miradi,  Mhandisi wa Ujenzi wa Manispaa hiyo  ndugu Juma S Magotto ameahidi kuongeza kasi ya usimamizi wa miradi hiyo ikiwemo kuzingatia ubora wa majengo hayo.


Miradi iliyotembelewa ni ya sekta za  Elimu , Afya na Utawala  ikiwemo  ujenzi wa stendi ya daladala Mloganzila, Ujenzi wa Jengo la utawala na Ujenzi wa hospitali ya Wilaya, ujenzi wa  hospitali Sinza, ujenzi wa vyumba vya madarasa 8, vyoo matundu 10, ujenzi wa hosteli shule ya Sekondari Goba pamoja na ujenzi wa mabanda ya soko la wajasiriamali wadogo mbezi.

Mradi wa ujenzi wa standi ya Daladala Mloganzira

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa