• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO ATEMBELEA SOKO LA MBURAHATI

Posted on: January 8th, 2020

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic leo ametembelea soko la Mburahati kujionea maendeleo yake. Katika ziara yake hiyo Mkurugenzi aliambatana na baadhi ya wataalam kutoka Manispaa hiyo. Soko hili lilijengwa kwa ufadhili wa fedha kutoka Serikali ya Denimark ambayo ilitoa kiasi cha Tshs. Bilioni 1.2. Fedha hizo zilisimamiwa na TGT YAANI (Tanzania Growth Trust) na Vibindo ambazo hazikutosha na kusababisha mradi kusimama kwa takriban miaka miwili. Wakati huo Manispaa ya Kinondoni ilitafuta fedha kutoka vyanzo mbali mbali bila mafanikio.

Aidha Manispaa ya Ubungo ilipata bahati ya kupata fedha ya mradi mkakati mwaka 2018 jumla ya Tshs. Milioni 996 kwa ajili ya kukamilisha mradi huo. Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ndiyo inayosimamia soko hili tangu mwanzo kwenye shughuli zote za uendeshaji. Mkurugenzi alisema kuwa awamu ya pili ya ujenzi huo unahusisha jengo la mama lishe na vyoo na kuwa Mkandarasi aliyepatikana ni SUMA JKT. 

Vile vile Mkurugenzi aliishukuru Serikali kwani tayari fedha za ujenzi wa awamu ya pili. zimepokelewa na muda si mrefu ujenzi utaanza. "Nimesikitishwa sana na kauli niliyoisikia hapo jana kuhusu Vibindo kwamba ndio waliohusika na ujenzi wa soko hili pamoja na wadau, kauli hiyo in ukakasi na upotoshwaji kwani Vibindo alidiriki kupotosha ukweli kuwa serikali imetoa Milioni 300 tuu." Alifafanua Mkurugenzi.

Beatrice alimaliza kwa kusema kwamba soko la Mburahati ni moja kati ya orodha ya miradi ya kimkakati ambayo inatekelezwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kusimamiwa na Manispaa ya Ubungo. Aliwaasa awafanyabiashara kutunza miundombinu ya soko ili kuenzi kazi kubwa inayofanywa na Serikali yetu.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa