• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MKURUGENZI WA MANISPAA YA UBUNGO APOKEA MAKABATI 44 KUTOKA SHIRIKA LA JSI

Posted on: December 18th, 2019

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo BEATRICE DOMINIC  akiongozana na Wataalam wa Manispaa ya Ubungo leo amepokea makabati kutoka katika Shirika la JSI  katika Kata ya Kwembe.
Wakati akikabidhi  makabati hayo Mkurugenzi  wa JSI kanda ya Pwani  PAMELA MSEI  alisema kwa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo tutatoa makabati 44 ambayo yatakwenda katika Kata 10 ambazo zipo katika Halmashauri ya Ubungo.
 Kata hizo ni Kata ya Kwembe inakayopata makabati 8, Kata ya Goba makabati 4, Kata ya Kimara makabati 3, Kata ya Mabibo makabati 2, Kata ya Makurumla makabati 6, Kata ya Manzese makabati 2 ,Kata ya Mbezi makabati 5, Kata ya Saranga makabati 12, Kata ya Sinza kabati 1 na Kata ya Ubungo kabati 1.

Aidha Mkurugenzi wa JSI alitambulisha shirika la JSI kuwa ni shirika linalo  tekeleza Mradi wa uboreshaji wa mifumo ya afya na ustawi wa jamii.Katika Wilaya ya Ubungo tutakuwa na Kata kumi ambazo kama shirika la JSI tumehakikisha tunapeleka makabati ya kuifadhia taarifa za watoto na wanawake wanaokuwa wanafanyiwa ukatili wa kijinsia na tutakabidhi fomu namba tatu piece 78 ambazo zitasaidia katika ukusanyaji wa taarifa. Aliyasema hayo Mkurugenzi wa JSI.
Baada ya kupokea Makabati hayo *Mkurugenzi Beatrice Dominic alitoa shukrani zake za pekee kwa shirika la JSI na Mkurugenzi wa JSI kwa mchango wao wa Makabati waliyoyatoa katika Kata ya Kwembe.
Nishukuru kwa JSI kwa kazi wanayofanya hasa kwa Halmashauri ya Ubungo na niagize makabati haya yakahifadhie taarifa zinazostahili kuwekwa katika makabati haya na si vinginevyo na nitafuatilia hili katika kata hizi kuliangalia hili kwa umakini na kufwatilia.

Pia niagize kwa watendaji ambao mpo chini yangu tufanye kazi kwa haki na tutekeleze yale ambayo mradi unategemea kwamba tutayafanya na sisi kama Wataalam tuhakikishe haya yanayofadhiliwa na wenzetu tunayafanyia kazi. Alisema hayo Mkurugenzi  Beatrice Dominic

Aidha Nipende kusisitiza wanakamati mkiwa katika vikao vyenu mjadili mambo yote muhimu na muhakikishe mnapata taarifa sahihi za watoto wanaohishi katika mazingira magumu na muhakikishe mnashughulikia vyema na mtumie vikao mnavyofanya mtoe taarifa za sehemu mnapotoka na mziweke katika maandishi.  Aliongeza Mkurugenzi Beatrice Dominic
Nae Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ubungo Ndg.PETER NSANYA  alitoa shukrani zake kwa Shirika la JSI kwa mchango wao walio hutoa kwa Manispaa ya Ubungo na kuahaidi makabati hayo yatatumika ipasavyo katika kuhifadhi taarifa za watoto hao.






Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa