• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MKUU WA WILAYA YA UBUNGO MHE. KISARE MAKORI AFUNGUA SEMINA ELEKEZI KWA WENYEVITI WA MITAA NA WATENDAJI

Posted on: March 5th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kisare Makori leo amefungua mafunzo (semina elekezi) kwa wenyeviti wa Serikali za mitaa na watendaji.

Mafunzo hayo yamefanyika kwenye ukumbi wa Little Flowers uliopo Mbezi na mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo  Mhe. Kisare Makori.

Wengine waliohudhuria mafunzo hayo ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya Ndg. Lucas Mgonja, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic, wataalam kutoka Manispaa ya Ubungo, kamati ya ulinzi ya Wilaya, viongozi wa Chama cha Mapinduzi, Wenyeviti wa Mitaa na watendaji wa mitaa 90 na wa kata 14 wa Wilaya ya Ubungo.

Wakati akifungua mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya alisema mafunzo yatahusu usimamizi na uendeshaji wa shuguhuli za Mamlaka za Serikali za Mitaa.

"Ni matumaini yangu mafunzo haya yataambatana na utendaji wa kazi utakaokuwa na nidhamu, uwajibikaji ,uzalendo ambao  unafanana na utendaji kazi ambao  Raisi wetu wa awamu ya tano Dr. John Pombe Magufuli anauhitaji."* Alisema Mkuu wa Wilaya.

Sambamba na hilo Mkuu wa Wilaya aliwasisitiza wenyeviti wahakikishe wanafanya kazi kwa umakini na ukaribu na ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi  ili kukamilisha majukumu kwa pamoja.

Aidha Mhe. Mkuu wa Wilaya aliwaambia wenyeviti, watendaji kuwa ni imani yake kuwa baada ya semina watafanya kazi kwa uadilifu, bidii na moyo kuhakikisha Manispaa ya Ubungo inafanikiwa.

NB Semina hiyo elekezi ni ya siku mbili na inatarajia kuisha hapo kesho siku ya ijumaa tarehe 5/3/2020.








Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa