• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MKUU WA WILAYA YA UBUNGO MHE.KISARE MAKORI ATEMBELEA MTAA WA KINZUDI KATA YA GOBA

Posted on: March 14th, 2020

Mkuu wa wilaya ya ubungo Mhe.kisare Makori  atembelea wakazi waishio Mtaa wa  kinzudi  Kata ya Goba.  Aliongozana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo  Ndg. James Mkumbo, Afisa tarafa wa Kibamba Beatrice Mbawala, wataalam kutoka Dawasa na Tarura na wataalam kutoka Manispaa ya Ubungo.

Lengo la kuja katika eneo hili ni kwaajili ya kutatua mgogoro uliopo katika eneo hili  la hekta 8 linalojulikana kwa jina la (shamba la mzungu), naomba niseme eneo hili tayari umiliki wake umelejeshwa  mikononi mwa wananchi na sio vinginevyo. Alisema hayo Mkuu wa Wilaya

Aidha nipongeze pia kwa uongozi wa  Serikali ya Mitaa kwa kuitisha kikao katika eneo hili kwani tangia nije kwa mara ya kwanza wananchi wanaokaa eneo hili walinipokea na kuonyesha ni jinsi gani  walikuwa wakikerwa na aliyekuwa akisema ni mmiliki wa eneo hili na leo nimekuja  kutatua changamoto hiyo  inayowasumbua.

Naomba niseme kwamba  eneo hili  kuanzia sasa jina hilo linalotumika la ( shamba la Mzungu)  lifutwe kwani tayari eneo hili ni mali ya  umma na liko chini ya usimamizi wa Halmashauri yetu ya ubungoSerikali ya awamu ya tano iko vizuri na inahakikisha wananchi wake wanapata haki zao ipasavyo, chini ya uongozi wa JOHN POMBE MAGUFULI raisi wetu wa awamu ya tano naye anasimamia haki za kila mtanzania na kuhakikisha haki zinatolewa ipasavyo.

"Ilitufanye shughuli za maendeleo ni lazima kuhakikisha amani ya nchi hii tunaitunza, Pia tuhakikishe kila mmoja wetu anasimamia misingi sahihi ya utulivu na kuhakikisha analinda maendeleo ya nchi yetu"aliongezea Mkuu wa Wilaya

Pia naomba niseme kuhusu ugonjwa hatari wa corona ambao rais wetu alisema ,tujikinge na hili pia, tuchukue tahadhali ilituepukane na hili pia, tukichukua tahadhali mapema itasaidia na  tutaendelea na shuguli za maendeleo katika nchi yetu. Niwakumbushe pia kuhusu swala la bima ambalo linaweza kuwa msaada kwenu nyote mkakate bima za ICHF ili kupata wepesi  wakupa matibabu,na swala la mikopo pia afisa maendeleoya jamii atawapa muongozo ili vikundi mpate mikopo kwaajili ya ujasiliamali na mkawe kipaumbele kwenye kurudisha mikopo hiyo ili mnufaike zaidi,

Mwisho niwashukuru kwa ujio wenu katika eneo hili na niwahaidi kuwa nanyi katika kutatua changamoto yoyote kama Mkuu wenu wa Wilaya ya Ubungo.



Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa