• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MTWARA DC WABISHA HODI UBUNGO

Posted on: January 28th, 2023

Leo Desemba 28, 2022 Wageni kutoka Halmashauri ya wilaya ya Mtwara wakiwemo Waheshimiwa madiwani na wataalamu wa Halmashauri hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Mhe. Selemani Nampanye pamoja Mkurugenzi wa Halmashauri Ndugu Yerica Yegella wamefanya ziara ya mafunzo kwa kutembelea Manispaa ya Ubungo lengo ikiwa ni kujifunza juu ya ukusanyaji wa mapato na usimamiaji wa miradi ya Maendeleo.

Akiongea Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Dkt Peter Nsanya amewaeleza wageni hao namna Manispaa hiyo inasimamia ukusanyaji wa mapato kwa ufanisi ambapo kila kata ina mlezi wake ambao ni wakuu wa idara na Vitengo na maafisa biashara ambao wamekuwa wakishirikiana na viongozi wa Kata wanazozilea katika kuhakikisha mapato yanakusanywa kwa usahihi na ufanisi.

Akitoa maelezo juu ya shughuli mbalimbali za Manispaa, Mchumi wa Manispaa ya Ubungo ndugu Grace Mwaigaga amesema kuwa Manispaa ya Ubungo kwa mwaka wa fedha 2022/2023 imekadiriwa kukusanya Bilioni 32 ambapo mpaka Desemba 25, 2022 imeshakusanya Bilioni 15 sawa na asilimia 48 za makusanyo. Aidha, Uwepo wa Kituo cha Magufuli umekuwa ni chachu ya kuongeza mapato kwa Manispaa hiyo ambapo kwa mwaka kituo hicho kinakusanya shilingi Bilioni 5 kutoka kwenye vyanzo vyake ikiwemo ushuru wa kuingilia kituoni, vyooni, bajaji na pikipiki, hoteli inayosimamiwa na mzabuni, parking za kulaza magari, Ada ya kuingiza na kutoa mabasi kituoni na upangishaji wa fremu za biashara.

Sambamba na maelezo hayo wageni hao wamefanikiwa kujua namna kituo hicho kinaendeshwa na kusimamiwa kwa ufanisi kwa maslahi ya wanaubungo.

Nae Mhe. Kheri James Mkuu wa Wilaya ya Ubungo ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara kwa uamuzi wake wa kutoka nje kuja kujifunza juu ya masuala mbalimbali yenye athari chanya kwa maendeleo ya wananchi wa Mtwara.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Mhe. Selemani Nampanye ametoa shukrani kwa mapokezi mazuri waliyoyapata pamoja na fursa ya kujifunza mambo mengi mazuri yanayofanywa na Manispaa ya Ubungo na wameahidi kwenda kuyatekeleza kwa ukubwa katika Halmashauri yao.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa