• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

RC MAKALLA AFUNGUA HOTEL YA KISASA KITUO CHA MABASI CHA MAGUFULI

Posted on: November 15th, 2022



- Katika kuendeleza jitahidi za kuibua vyanzo vipya vya mapato ya ndani ya Halmashauri, Mapema leo Novemba 15 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla amezindua rasmi mradi wa Hotel ya "Ubungo Executive Lodge" iliyopo katika kituo kikuu cha Mabasi cha Magufuli.

Akizindua hotel hiyo, RC Makalla ameelekeza hotel kuachwa ijiendeshe kibiashara ili kuleta tija kwa serikali na mwekezaji pia.

Aidha RC Makalla ametaka uendeshaji wa hotel hiyo kuzingatia makubaliano ya kimkataba na uwazi katika kila kitu.

Hoteli hiyo Ina idadi ya vyumba 38 ambavyo vikijaa vyote itaingiza Shilingi Milioni 1.1 kwa siku, Milioni 30 kwa mwezi na Milioni 421 kwa Mwaka ambapo Halmashauri ya Ubungo itachukuwa Asilimia 60 na Mwekezaji Asilimia 40.

Pamoja na hayo RC Makalla ametumia Uzinduzi huo kukemea Wizi na uharibifu wa Vifaa kwenye hotel huku akielekeza Halmashauri ya Ubungo kutafuta Wadau watakaoboresha mandhari ya nje ya Kituo Cha Magufuli ikiwemo Ujenzi wa bustani na sehemu za kupumzika kulingana na hadhi ya Kituo.

@ortamisemi
@daressalaam_rs_digital
@ubungo_executive_lodge

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC KOMBA ARIPOTI UBUNGO, AWEKA WAZI VIPAUMBELE VYAKE. DC KHERI AWAAGA WANA UBUNGO

    January 31, 2023
  • ZIARA KAMATI YA HUDUMA ZA UCHUMI,AFYA NA ELIMU

    January 30, 2023
  • CHANJO YA SURUA KUANZA KUTOLEWA FEBRUARI 01-5-2023

    January 27, 2023
  • KAMATI YA UKIMWI YATEMBELEA TAASISI YA KULEA WAZEE

    January 27, 2023
  • Tazama zote

Video

DC KOMBA ARIPOTI UBUNGO | ASEMA HATAVUMILIA UZEMBE | DC KHERI AWAAGA WANA UBUNGO
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa