• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

SILINDE AIPONGEZA MANISPAA YA UBUNGO UJENZI WA MADARASA S/M KING'ONGO

Posted on: January 23rd, 2021

Naibu Waziri Ofisi ya Rais - Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa (OR- TAMISEMI) David Silinde, ameipongeza Manispaa ya Ubungo kwa  kutekeleza kwa  haraka agizo la Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli la kuitaka Manispaa hiyo kuhakikisha wanafunzi wa shule ya King'ongo wahakai chini wala kusomea nje baada ya  taarifa za upungufu wa miundombinu katika shule hiyo hiyo kurushwa  kwenye mitandao ya kijamii.

Silinde ametoa pongezi hizo  leo januari 23 alipotembelea na kukagua utekelezaji wa ujenzi wa madarasa 9 na choo chenye mafundi  12 katika shule hiyo  na kueleza kuwa ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa maradi huo ambapo kwa muda wa Siku tano madarasa hayo yamefikia hatua ya linta, hongereni kwa kutii agizo  la Mhe. Rais kwa haraka.

Ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi king'ongo Manispaa ya Ubungo ukiwa hatua ya linta 


"Kufanikiwa  kufikia hatua ya linta ndani ya Siku tano kwa  madarasa tisa yanayojengwa hapa shule ya msingi King'ongo, inatoa tafsiri  tosha  kuwa viongozi tunauwezo wa kutekeleza miradi ya serikali kwa wakati tukiamua na tukidhamilia" amesema lusinde.

Amesisitiza kuwa, Kwa kasi hii kumbe darasa linaweza kukamika ndani ya mwezi mmoja  lysine amesema  hakuna  sababu ya kuchelewesha miradi kwani inawezekana kukamilisha kwa wakati kama walivyofanya Manispaa ya Ubungo.

Kufuatia agizo la mheshimiwa Rais  kwa manispaa ya ubungo,  Silinde ameziagiza halmashauri zote nchini zenye wanafunzi wanakaa chini au kusomea nje kuhakikisha wanaanza ujenzi wa madarasa pamoja na utengenezaji wa madawati ili kuhakikisha changamoto hiyo  inamalizika kabisa kwa wanafunzi wa sasa na kuwa na mipango kwa ajili ya mwaka ujao kwani idadi ya wanafunzi itaongezeka kutokana na fursa ya elimu bila malipo.


Akitoa taarifa mbele ya Naibu waziri OR-TAMISEMI Mhe David  Silinde, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic amesema, Manispaa inaendelea kutekeleza agizo la mhe Rais ambapo ujenzi wa madarasa 9 unaendelea na kufikia januari  31, 2021 madarasa yatakuwa umekamilika pamoja na madawati na wanafunzi wataanza kuyatumia rasmi tarehe 5 februari, 2021.

Amesema kujenga madarasa pamoja na madawati haitoshi, hivyo Manispaa ya nimeamua kujenga choo chenye matundu 12, mradi huu hadi kukamika kwake utagharimu jumla ha shilingi milioni 205 zote kutoka mapato ya ndani.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic (wa pili kulia) akitoa maelezo ya utekkelezaji wa agizo la mhe Rais la kujenga madarasa kwa haraka katika shule ya msingi King'ongo.




Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa