• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

STANBIC BENKI YAIWEZESHA UBUNGO

Posted on: July 15th, 2022


Mapema Leo 15 Julai, 2022 Manispaa ya Ubungo imepokea Viti na meza za wanafunzi hamsini pamoja na miti kwa ajili ya Shule ya Sekondari ya Kimara kutoka STANBIC Benki ambayo inaendeleza Kampeni yao ya STANBIC Madawati Initiative.


Akiongea Nd. Omary Mtiga Mkuu wa kitengo cha wateja binafsi STANBIC, ameeleza kampeni yao imepanga kugawa madawati zaidi ya 1000 Tanzania nzima ili kuisaidia Serikali kupunguza changamoto ya madawati shuleni.

Ameendelea kueleza kuwa Sambamba na ugawaji wa madawati ambayo yanatokana na miti basi Benki hiyo imetoa mti mmoja kwa kila dawati moja ili kuendelea kutunza mazingira wakati huo huo kupunguza changamoto ya madawati.


Mtiga amesema STANBIC Benki imekuwa ikitoa misaada mbalimbali kwa jamii kwani wanajamii ndio wateja wao wakubwa na kwamba wataendelea kushirikiana vyema na Serikali muda wowote pale ambapo watahitajika kufanya hivyo.


Nae Mhe. Kheri James Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, ametoa wito kwa Wadau wa mashirika mbalimbali kutoa misaada mbalimbali kwa jamii kama ambavyo STANBIC wamefanya kwani kufanikiwa kwao kunatokana na ushirikiano wanaoupata kutoka kwa wanajamii.


Aidha, James ameendelea kueleza kuwa Serikali pekee haiwezi kutatua changamoto zote zilizopo kwa sekta mbalimbali hivyo Wadau mbalimbali ambao wamekuwa wakiendesha vizuri biashara zao kutokana na mazingira mazuri waliyowekewa na Serikali yao basi wanapaswa kuisadia Serikali kwa nyanja mbalimbali.


James amewataka walimu na wanafunzi wa Shule hiyo kutunza madawati na miti ambayo imetolewa na Benki hiyo ikiwa ni ishara ya kutoa shukrani zao kwa Benki hiyo lakini pia kuvutia wadau wengine kutoa misaada mbalimbali katika Shule hiyo na Manispaa kwa ujumla.

Kwa upande wake mwalimu mkuu wa Shule hiyo Bi. Elizabeth Bonzo ameishukuru Benki hiyo kwa msaada huo na kuahidi kutunza misaada hiyo.


Bonzo ameeleza Shule hiyo inajumla ya wanafunzi 1585, na ina upungufu wa viti na meza za wanafunzi na walimu 621 hivyo upatikanaji wa viti na meza hizo imesaidia kupunguza changamoto hiyo.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa