• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

TAMISEMI YAIJENGEA UWEZO KAMATI YA LISHE MANISPAA YA UBUNGO KWA MAFUNZO JINSI YA KUINUA KIWANGO CHA LISHE

Posted on: March 2nd, 2020

Mafunzo hayo  yamefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya uliopo Luguruni na kuhudhuriwa na mgeni rasmi ambaye ni Kaimu Das Wilaya ya Ubungo Diana K. Nkarage. Mkufunzi alikuwa ni  Mratibu wa  lishe kitaifa kutoka OR  TAMISEMI Ndg. Mwita Waibe akisaidiwa na Afisa Lishe wa Mkoa wa Dar es salaaam Neema Kweba, Dr.Winfrida Mayilla Senior Program Manager kutoka Shirika la GAIN na Afisa Lishe wa Wilaya ya Ubungo Beatrice Joseph pamoja na  wataalam kutoka Manispaa ya Ubungo.

Lengo la mafunzo likiwa ni kuzijengea uwezo kamati za lishe pamoja na wafanya maamuzi (Wakuu wa Wilaya) kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mkataba wa lishe ngazi za  Kata na Mtaa/vijiji na Kutambulisha nyenzo na kukusanya taarifa za utekelezaji wa viashiria vya mkataba wa lishe ngazi ya Kata na Mtaa/vijiji.

"Tuzingatie lishe katika maisha yetu kwa kuhakikisha tunakula vyakula ambavyo vina virutubisho sahihi(vyakula vyenye lishe bora) na kuepukana na madhara ambayo yanaweza kutokea na kuleta hasara kiuchumi, katika ngazi ya familia mpaka Taifa kwa kukosa kizazi chenye ukuaji mzuri. Pia Udumavu huathiri ukuaji wa mwili hata akili kwa Tanzania tafiti zinaonyesha ina watoto waliodumaa takribani millioni 3 ambayo ni sawa na 31.8%

*Ili kuepukana na janga la watoto wadumavu na kizazi cha watu wenye ukuaji mbovu wa mwili lazima siku 1000 za ukuaji wa mtoto uzingatiwe." Alisema hayo  Mratibu wa Lishe Ndg. Mwita

Pia kuwekeza kwenye Lishe ni jambo muhimu tuige mfano mzuri kutoka nchi za wenzetu kumekuwa na ongezeko kubwa la kizazi chenye ukuaji mzuri wa afya ya akili ambao tumekuwa tukiwategemea katika mambo mbalimbali ili  kupata wafanisi wakubwa, tujielekeze sasa kuinua watoto kwa kuwapa lishe bora  walio katika Wilaya yetu na  kwa kutoa elimu bora kuhusu lishe kwa wazazi. Aliongeza Ndg. mwita

Aidha mwakilishi kutoka Shirika la GAIN  Dr. Winfrida Mayila  ambaye ndiye Senior Program Manager wa Shirika la GAIN  aliomba kamati kuainisha mahitaji yao na GAIN   itachangia  kiasi cha Tsh. Millioni  30 ili  kuisaidia kamati  kuinua swala la lishe katika Wilaya ya Ubungo.

Ikumbukwe kuwa GAIN ni Shirika lisilo la kiserikali linaloshirikiana na Serikali ili kusaidia afua mbalimbali za lishe katika kutekeleza mkataba wa lishe ambao wakuu wa Mikoa wamesaini pamoja na Wilaya zote.

Mwisho Kaimu Das Wilaya ya Ubungo aliwashukuru wawezeshaji kutoka Tamisemi kwa ujio wao na kutoa elimu kuhusu lishe na kuwakaribisha tena Manispaa ya Ubungo.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa