• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

TIMU YA WATAALAM UBUNGO WATEMBELEA MRADI WA SHULE YA MKOA

Posted on: July 8th, 2022


Timu ya Wataalamu ya Manispaa ya Ubungo (CMT) ikiongozwa na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo  imetembelea na kuona  utekelezaji wa Mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Dar es salaam inayojengwa Kata ya Kwembe Wilaya ya Ubungo ambapo kwa sasa mradi upo hatua ya boma.

Mradi huo ni miongoni mwa miradi ya uboreshaji elimu ya sekondari (SEQUIP) ambapo kwa awamu ya kwanza Manispaa hiyo imepokea Bilioni 3 Kati ya Bilioni 4 kutoka Serikali kuu, ambazo zimepangwa kutumika kwa ajili ya kutekeleza Mradi huo ambao unatekelezwa na wakandarasi wawili ambao ni Bandiko Construction Limited na Valosu Construction Limited.

Mradi huo  kwa awamu ya kwanza unajumuisha  ujenzi wa vyumba vya Madarasa 12 pamoja na Vyoo vitatu, Ofisi 3, Maabara 4, Bwalo, Mabweni matano, Jengo la Utawala, Nyumba tatu za walimu, Matanki ya maji, kichomeo taka, mitaro ya maji, Uzio, Barabara za watembea kwa miguu na  vyoo matundu 16.
Akiongea baada ya ukaguzi wa mradi huo,  Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndugu Beatrice Dominic amemtaka Kaimu Mhandisi wa Manispaa hiyo kutoa taarifa ya utekelezaji wa mradi huo ikihusisha changamoto na  ongezeko la gharama kwenye Mradi (valuetion) na namna ya kutatua changamoto hizo ili mradi ukamilike kwa wakati

Sambamba na hayo Beatrice ameitaka Idara ya manunuzi na Kitengo cha Mhandisi kuhakikisha kuwa wanawajibika ipaswavyo katika kutekeleza majukum yao ili kuepukana na changamoto mbalimbali wakati wa utekelezaji wa miradi mbalimbali.

Mmoja wa Wakandarasi wanaojenga mradi huo kutoka Kampuni ya Bandiko Construction Limited amesema wao kama wakandarasi wa Mradi huo wapo tayari kushirikiana na Manispaa katika kuhakikisha Mradi huo unakamilika kwa viwango na muda uliokusudiwa.

@ortamisemi

#UbungoYetuFahariYetu

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa