• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI

Posted on: August 2nd, 2021

Ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji dunia kwa muda wa siku saba kuanzia Jana august 1 mpaka agust  7 yakiongozwa na kauli mbiu ya "JUKUMU LETU SOTE"  Manispaa ya Ubungo imeadhimisha kwa kupitia kituo Chake Cha  afya Cha Mbezi kwa kuongea na wakina mama wanaonyonyesha juu ya kuzingatia lishe Bora kwa afya ya mtoto

Akiongea wakati wa maadhimisho hayo Afisa lishe Manispaa ya Ubungo Beatrice Mosile amewasisitiza wakina mama kuzingatia lishe Bora ya vyakula na kuzingatia masharti yanayotolewa na wataalam wa afya juu ya utunzaji wa afya ya mtoto na pia mama anayenyonyesha

Aidha alitoa elimu ya lishe anayotakiwa mtoto kuipata ikiwemo kunyonyeshwa  maziwa ya mama kwa kipindi Cha miezi sita bila ya kupewa chakula chochote na atakapofikisha zaidi ya miezi sita na kuendelea mtoto anaweza kupatiwa  mchanganyiko wa vyakula

" Hakikisha mwanao ananyonya mpaka miaka miwili ili awe na afya bora"  alisema Mosile

Kwa mama aliyeathirika na mtoto aliyezaliwa ajapata maambukizwi anashauri kunyonyesha mtoto kwa kipindi Cha mwaka mmoja na kwa aliyepata maambuzi na mtoto akaathirika atanyonyesha kwa muda wa miaka miwili. Aliongeza Mosile

Nae mratibu wa afya jamii Bi.Shubila Bachuba aliwasisitiza kuzingatia maagizo yanayotolewa n idara ya afya kwa Sasa juu ya ugonjwa wa korona kwa kuhakikisha wanafata miongozo ya kujikinga kwa kunawa mikono kwa maji titirika na kuoga wanapokuwa katika mikusanyiko kabla ya kumshika mtoto warudipo majumbani kwa kumlinda mtoto

Sambamba na hayo bi.magret mbena mmoja wa  wamama walioshiriki katika uzinduzi wa maadhimisho hayo  ameshukuru kwa elimu waliyopata na kuahidi kuzingatia lishe Bora kwa afya ya mtoto wake







Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa