• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YAANZA OPERESHENI YA KUTHIBITI MBWA WANAOZURURA MTAANI KIHOLELA.

Posted on: April 16th, 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo April 16, 2025 imeanza rasmi operesheni ya siku tano ya ukamataji na uuaji wa mbwa wanao zurura mtaani wasiokuwa na makazi maalumu ambao wamekuwa wakisababisha vifo, majeraha na uharibifu wa mali kwa wananchi.

Zoezi hilo linafanyika Katika maeneo mbalimbali ya Kata za Manispaa ya Ubungo kwa lengo la kupunguza idadi ya mbwa wanao zagaa mtaani na kusababisha kero kwa jamii lakini pia kutokomeza maambukizi ya kichaa cha mbwa kwa binadamu.

Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Bw. Archie Mntambo ameeleza kuwa zoezi hili ni muhimu kwani malalamiko yamekuwa mengi kutoka kwa Wananchi kuhusu madhara yatokanayo na mbwa hawa hasa majira ya Usiku, kukosa mahali rasmi pa kuishi, na kukosa huduma muhimu kama vile chanjo za mara kwa mara.

Amesema oparesheni hii imeanzishwa ili kupunguza athari zinazoweza kutokea pale mbwa anapo mng'ata  binadamu lakini pia kudhibiti kuzaliana kwa mbwa hivyo kupelekea mbwa wazururaji kuongezeka.

Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo George Katua amesema ‘kwa muda mrefu  kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wananchi kuwa mbwa wamekuwa wakiwasumbua hasa nyakati za asubuhi na jioni na kusababisha wanafunzi kusumbuliwa hivyo kupelekea kuwa kero kubwa katika jamii hususani maeneo yenye idadi ya wakazi wengi.

"Ni vyema idadi ya Mbwa hawa ikapunguzwa kwa ajili ya usalama wa Wananchi na mali zao"~ Amesema Katua.

Aidha amewataka wale wote wanaofuga Mbwa kuhakikisha mifugo yao inafungiwa ndani ya mabanda lakini pia wazingatie ratiba ya chanjo ambazo zimekuwa zikitolewa mara  kwa mara kwenye kila mtaa ili kuzuia athari zinazoweza kujitokeza.

Baadhi ya Wananchi  walioshuhudia oparesheni hiyo wameishukuru na kuipongeza Serikali ya Awamu ya sita kwa kuliona hilo wakisema inasaidia kupunguza madhara yaliyokuwa yanajitokeza kutokana na Mbwa hao.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • CHALAMILA AZINDUA BIASHARA SAA 24 UBUNGO

    May 09, 2025
  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa