• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YAFANYA MKUTANO NA WAFANYABIASHARA

Posted on: July 31st, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James amewapongeza wafanyabiashara wa Wilaya ya Ubungo kwa kuwa chanzo cha kuboresha huduma kwa wananchi na kukuza uchumi wao kupitia kodi na tozo wanazolipa kwa Halmashauri.

Pongezi hizo amezitoa kwenye kikao kilichofamyika Julai 31, 2022 kati ya wafanyabiashara  na Serikali  kilicholenga  kujadili  na kutatua  changamoto zinazowakabili wafanyabiashara pamoja na kutoa elimu ya kukuza biashara zao.

Kikao hicho ambacho kinalenga pia kuboresha mahusiano kati ya Serikali na wafanyabiashara ni matokeo ya  Mbunge wa jimbo la Ubungo  Prof. Kitila Mkumbo baada ya kupokea kero kutoka kwa wafanyabiashara hao na kuahidi kujibu hoja zao kupitia kikao cha pamoja.

Prof. Kitila amesema kuwa wafanyabiashara ndio walipa kodi wakubwa kwa Manispaa ya Ubungo na Serikali hivyo ni wajibu wa Serikali kuhakikisha wafanyabiashara wanakuwa na mazingira mazuri ya kufanya biashara ikiwemo kuwapa elimu ya ushuru, tozo ada na kodi mbalimbali za manispaa na faida zake kwa jamii.


"Kazi yangu ni kuwa kiungo kati ya Serikali na wananchi na hili nimelitekeleza kwa kuhakikisha kikao hiki kinafanyika ili kufahamu changamoto na kukubaliana namna bora ya kufanya biashara ikiwemo uwepo wa  uwazi wa sheria zinazozimamia biashara amefafanua prof. Mkumbo


Kwa upande wake Mwenyekiti wa wafanyabiashara Wilaya ya Ubungo ndg. Kelvin Pascali  amemshukuru mbunge kwa kutimiza ahati yake lakini pia serikali kufanikisha kikao hiki mhiumu kinachotupa fursa ya kujadili changamoto, fursa na kupata elimu ya kodi hasa zile zinazotutatiza  

Kelvin amesema utaratibu huu wa kukutana  uwe endelevu ili wafanyabiashara waone fahari kufanyabiashara katika Wilaya hii na hivyo kulipa kodi kwa hiari kama serikali inavyoelekeza.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic  amewashukuru wafanyabiashara kwa kushiriki kikao hicho mhimu na kuahidi utoaji wa elimu kwa wafanyabiashara  kufanyika kila kata ili kuondoa changamoto ya ufinyu wa elimu kwa mlipa kodi.






Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa