• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YAJIPANGA NA UTOAJI WA CHANJO YA POLIO AWAMU YA TATU

Posted on: August 31st, 2022

Kamati ya Afya Msingi Ngazi ya Wilaya imekutana kujadili namna itakavyowezesha zoezi la utoaji wa chanjo ya Polio  kwa watoto walio chini ya miaka mitano awamu ya tatu litakalo fanyika kuanzia tarehe 1 - 4 septemba, 2022 ambapo   watoto 174,588 wanatarajiwa kupatiwa chanjo hiyo 

Akiwasilisha Taarifa ya zoezi la utoaji wa chanjo kwa awamu ya pili na ya kwanza Mganga Mkuu Manispaa ya Ubungo Dkt. Peter Nsanya amesema kuwa kwa awamu zote mbili zoezi lilifanikiwa na kuvuka lengo ambapo kwa awamu ya pili ilidhamiriwa kuwafikia watoto 168,010  na kufanikiwa kuvuka lengo mpaka kufikia  asilimia 113% 

Dr Nsanya amesema kuwa katika zoezi la utoaji wa chanjo awamu ya tatu Wilaya ya ubungo ina jumla ya timu 271 zitakazotoa huduma ya chanjo hiyo katika Vituo na nyumba kwa nyumba 

Nsanya, aliendelea kwa kusema kuwa chanjo ipo tayari katika Vituo vyote vya Afya na watoa huduma wapo na watapita nyumba kwa nyumba na watakaoenda kwenye Vituo vya kutolea huduma watapata chanjo hiyo.




Akifungua kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Ubungo ambaye ndie Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Kheri James amesisitiza wazazi wenye watoto wanao stahili kupata hiyo chanjo  kuhakikisha wanawapeleka kupata chanjo katika Vituo vilivyo Karibu yao

Aidha, Mkuu wa Wilaya amewasitiza viongozi wa dini na Serikali kuendelea kutoa hamasa Makanisani, Misikitini, masokoni na sehemu zingine ili zoezi liweze kufanikiwa na kufikia malengo.

Sambamba na hayo, Mjumbe wa kamati hiyo Ndg. Feruzi ameipongeza kamati kwa hatua iliyofikiwa  na kuhaidi kamati kuendelea kufanya hamasa zaidi ili kufanikisha zoezi





Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAGANGA WA TIBA ASILI NA MBADALA WAJENGEWA UWEZO

    March 31, 2023
  • UBUNGO YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KIWILAYA

    March 08, 2023
  • ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YAFANYIKA , DC KOMBA ATOA MAELEKEZO

    March 01, 2023
  • UBUNGO YATIA FORA KAMPENI YA SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM, RC MAKALLA AIPONGEZA

    February 25, 2023
  • Tazama zote

Video

FAHAMU ALICHOKISEMA DC KOMBA KWENYE ZIARA LEO | AIAGIZA TAKUKURU KUFANYA UCHUNGUZI
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa