• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YAPOKEA VIFAA TIBA KUTOKA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

Posted on: October 25th, 2021

Manispaa ya Ubungo,  tarehe 25.10.2021 imepokea Vifaa  tiba ( mashuka 100,sanitizer 60  pamoja na  wheelchair 4  (viti maguru ) kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es salaam ikiwa  ni maadhimisho ya miaka 60 toka kuanzishwa kwa chuo hiko

Akipokea Vifaa hivyo Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic  ameushukuru Uongozi wa chuo kikuu Cha Dar es salaam  kwa jitihada walizoonyesha kwa  mchango mkubwa wa vifaa hivyo ambao utawanufaisha wananchi wa  Wilaya ya Ubungo 

Beatrice, amekipongeza chuo  kwa kufikisha miaka 60 tangu kuanzishwa kwa kwake   na kwa mchango  mkubwa ambao Kituo Cha Afya Cha Kimara kimeupata.

 "Vifaa hivi tuna ahidi kuvitunza na kuhakikisha vina dumu" aliongeza Beatrice 

Aidha  Prof.William Anagise  Makamu Mkuu wa chuo Cha Dar es salaam akisoma taarifa fupi ya tangukuanzishwa kwa chuo hicho  amesema kuwa  chuo kitaendelea kushirikiana na Manispaa ya Ubungo katika kuwaletea  manufaa  wananchi wa Ubungo na Taifa kwa ujumla.

Aliendelea kwa kusema kuwa katika siku hii ya  Maadhimisho ya miaka 60 tangu   chuo Kikuu  Cha Dar es salaam kuanzishwa itaadhimishwa kwa kipindi cha mwaka mzima  kwa kuendelea kutoa huduma kwa jamii na kutoa ushirikiano kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo

Kwa upande wake Mganga Mkuu Manispaa ya Ubungo Dkt.Peter Nsanya amepongeza jitihada za chuo kikuu cha Dar Es Salaam kwa ushirikiano walio utoa ikiwa ni njia moja wapo ya kuboresha mahusiano mazuri na kuendelea kutoa huduma  kwa wananchi.

Mfawidhi  wa Kituo Cha Kimara Dickson Masale  ameushukuru Uongozi wa chuo hicho kwa kukichagua kituo hicho kutoa vifaa hivyo  kati ya vituo 22 vya serikali vinavyotoa huduma Manispaa ya Ubungo.

Shukrani zingine amezitoa kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo kwa kuendelea kukilea vyema Kituo hicho na kuendelea kuleta matunda zaidi














ReplyForward






Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa