• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YATOA BILIONI 1.1 KWA VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI

Posted on: January 28th, 2022


Halmashauri ya Wilaya leo Jan 28, 2022, imetoa mkopo usio na riba wenye thamani ya Tsh bilioni 1.1 kwa vikundi 133 vya wajasiriamali vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ikiwa ni utekelezaji wa sera ya uwezeshaji wananchi kiuchumi kwa kutenga asilimia 10 za mapato yake ya ndani.


Akiongea na wanavikundi hao kabla ya kuwakabidhi hundi Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mh Kheri James ameipongeza Manispaa ya Ubungo kwa kutekeleza sera hiyo kwa vitendo ambapo wanufaika 1201 wamewezeshwa mikopo isiyo na riba ambayo itawasaidia kuongeza mitaji kwenye biashara zao na hivyo kukuza uchumi wao na Taifa kwa ujumla 


“Mikopo hiyo itumieni vizuri kukuza biashara zenu kwa sababu haina riba tofauti na ukikopa benki ambapo kuna riba kubwa, utoaji wa fedha hizi ni kuhakikisha kuwa kila mwananchi anapata fursa ya kumiliki biashara”.


Aidha James ameendelea kuvisisitiza vikundi hivyo kutumia pesa hizo kukuza biashara zao na sio matumizi mengine na matumizi hayo yaende sambamba na urejeshwaji wa pesa hizo ili kuwapa wengine fursa ya kukopeshwa.


Kheri amevisisitiza vikundi vya vijana kurejesha pesa hizo kwa wakati kwani wenyewe wamekuwa na changamoto katika urejeshaji wa fedha hizo tofauti na vikundi vya akina mama. 


Pia amewaomba maafisa maendeleo ya jamii kuwa na utaratibu wa kuvitembelea vikundi hivyo mara kwa mara na sio tu kuishia kuvipa mikopo ili kuvishauri na kuongeza ufanisi katika shughuli zao na amevisisitiza vikundi hivyo umuhimu wa kuzingatia taratibu za fedha, na kulinda umoja na mshikamano katika vikundi vyao na Taifa kwa ujumla.


Katika mikopo hiyo ya Tsh bilioni 1.1 jumla ya vikundi 133 vyenye wajasiriamali wapatao 1201 wanaenda kupatiwa mikopo ambapo vikundi vya wanawake 85 watapatiwa Tsh Milioni 643, vikundi vya vijana 42 watapatiwa Tsh Milioni 429 na jumla ya Tsh Milioni 74 zitatolewa kwa vikundi vya watu wenye ulemavu.


“UBUNGO YETU FAHARI YETU”




Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa