• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

USIMAMIZI UNATAKIWA VITUO VYA AFYA KUONGEZA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: January 5th, 2021

Wakati serikali inaendelea kujenga hospitali na vituo vya afya  kote nchini, suala la kuongeza usimamizi wa ukusanyaji wa mapato kwenye vituo hivyo ni mhuhimu sana ili viweze kujiendesha vyenyewe hususani kununua dawa na vitendanishi badala ya kutegemea MSD na fedha  kutoka kwa wahisani.

Maelekezo hayo yametolewa na Naibu waziri OR-TAMISEMI Mhe. Dkt. Festo John Dugange leo januari  5, 2021 wakati wa Ziara yake ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Manispaa ya Ubungo jijini Dar Es salaam  na kueleza kuwa bila kuongeza  usimamizi wa ukusanyaji wa mapato kwenye vituo vya kutolea huduma za afya  tatizo la ukosefu wa dawa linaweza kuwa kubwa.

Naibu Waziri OR-TAMISEMI Mhe Dkt Festo John Dugange (aliyevaa koti) akitoa maelezo wakati alipotembelea ujenzi wa kingo za mto ng'ombe eneo la Ubungo Maji leo januari 5, 2021


Amesema serikali imetumia fedha nyingi kujenga miundombinu bora ya afya hivyo ni jukumu la viongozi wa halmashauri kuhakikisha wanasimamia vituo kukusanya mapato ya kutosha ili vituo hivyo viweze kujiendesha vyenyewe hasa kwenye ununuzi wa dawa na vitendanishi.

Dkt.  Dugange ameendelea kueleza kuwa"Lazima  tuongeze usimamizi wa ukusanyaji wa mapato na matumizi kwenye hosipitali, vituo vya afya na zahanati kwa kuziba mianya yote inayovujisha mapato kwa kutumia mbinu za kisasa za matumizi ya mifumo ya kielektroni  ili mwananchi asikose dawa kwenye vituo vyetu vya kutolea huduma za afya"

Aidha Dkt Dugange ameipongeza Manispaa ya Ubungo kwa kutekeleza kwa viwango mradi wa ujenzi wa hospitali ya Wilaya na kuagiza hospitali hiyo kukamilika na kuanza kutumika  ifikapo machi mwaka huu kwani muda wa kukamilisha ulipaswa kuwa mwezi januari 2021.

"Nawapa miezi miwili tu ujenzi uwe umekamilika na huduma zianze kutolewa, wananchi wa hamu ya kuitumia hospitali yao ukizingatia vituo vya afya vilivyopo manispaa ya Ubungo vimamsongamano mkubwa sana wa wateja" aliagiza Dkt. Dugange

Dkt Dugange ameendelea kuipongeza Manispaa ya Ubungo kwa kufanikiwa kukusanya  bilioni 9.1 kati ya bilioni 18 iliyokasimiwa kukusanya kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambayo ni asilimia 51 ya mapato yake ya ndani hadi kufikia desemba 2020 na kufanikiwa kutumia zaidi ya bilioni 3 kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa madaraza, vituo vya kutolea huduma za afya na kupeleka 10% kwenye mfuko wa wanawake, vijana na walemavu.

Kuhusu juhudi za kupunguza  tatizo la mafuriko na foleni jijini Dar Es salaam, serikali imetumia zaidi ya bilioni 55 kujenga kingo kwenye mto sinza na mto ng'ombe ili kupunguza athari za mafuriko  kwa wananchi pamoja na kujenga barabara ya kilomita 18 kwa ajili ya kupunguza kero ya foleni.

Barabara ya Shekilango ikiwa kwenye hatua za mwisho za umaliziaji na wananchi wakiendelea kunufaika nayo.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa